Uzuri ukikaa chini ukatulia uhalisia unaujua kwa ground, hayo mengine umejiskia tu kuongea and so feel free to exercise your freedom of expression.Mjinga ni wewe usiyekubaliana na mawazo ya Wengine. Baki na ushabiki wako na hayo mawazo na maoni yako hayawezi kubadili Chochote
ššššKabisa,.. wakiongozwa na hao waliotunga wimbo wa Solidarity forever
Huwezi ukapendezwa na kila kitušUzuri ukikaa chini ukatulia uhalisia unaujua kwa ground, hayo mengine umejiskia tu kuongea and so feel free to exercise your freedom of expression.
Sasa je, kwani usolidarity wake unatusaidia nini huyo? Akajambe huko..Sasa nani anataka usolidarity na wewe...tukifungwa na nyie tutahakikisha mnafungwa...
Kiko wapi sasa..?Mdogoh wangu mie Nina alegy na yangah
Nitoe huko
Ni borah mnifuteh urahiaš
Kiko wapi sasa..?Mjinga ni wewe usiyekubaliana na mawazo ya Wengine. Baki na ushabiki wako na hayo mawazo na maoni yako hayawezi kubadili Chochote
Kiko wapi sasa..?...vile vile tunaomba yanga ifungwe kesho kutwa mtutolee ujinga wenu kulee!
Haya waiteni tena ma sheikh wenu wa zanzibar waje waroge na kesho tufungwe, mazuzu mshatapeliwa na ma sheikh feki wa zenjibar, poleni sana madundukaSasa nani anataka usolidarity na wewe...tukifungwa na nyie tutahakikisha mnafungwa...
Siasa mbaya sanaLeo sisalimii mtu.
Naona kuna kampeni ya kihuni imeanzishwa kwamba as a country kuna solidarity when it comes to supporting Simba na Yanga kwenye CAFCL. Huu ni uhuni. Hakuna solidarity.
Sisi Yanga hatuwaombei mema Simba na hao simba hawatuombei mema Yanga.
HAKUNA CHA SOLIDARITY, DUA ZETU ZOTE TUNAOMBA SIMBA AFUNGWE KESHO. MTUTOLEE UPUMBAVU HUKO.
Mathalani, in England Arsenal anacheza na bayern quarter final ila hakuna shabiki wa Chelsea wa England anayoiombea mema Arsenal. Rivarly ipo pale pale. Mtutolee ujinga hapa.
Keshoh tatu mzukah š¤£š¤£anaupigaah mwingii darasa la pili f thubutuuš¤£š¤§Kiko wapi sasa..?
Unaongelea future impossible tense, poleni bhnKeshoh tatu mzukah š¤£š¤£anaupigaah mwingii darasa la pili f thubutuuš¤£š¤§
Kwamba nyie sio wanga? Hahahaha nyie tena..majini yenu leo myaombee japo ni majini...Haya waiteni tena ma sheikh wenu wa zanzibar waje waroge na kesho tufungwe, mazuzu mshatapeliwa na ma sheikh feki wa zenjibar, poleni sana madunduka