Hakuna cha solidarity kwenye masuala ya Simba na Yanga

Mjinga ni wewe usiyekubaliana na mawazo ya Wengine. Baki na ushabiki wako na hayo mawazo na maoni yako hayawezi kubadili Chochote
Uzuri ukikaa chini ukatulia uhalisia unaujua kwa ground, hayo mengine umejiskia tu kuongea and so feel free to exercise your freedom of expression.
 
Uzuri ukikaa chini ukatulia uhalisia unaujua kwa ground, hayo mengine umejiskia tu kuongea and so feel free to exercise your freedom of expression.
Huwezi ukapendezwa na kila kitušŸ“Œ
 
kwan nyakti zote simba anaingia makundi na robo fainal marakadhaa nyakati hzi yanga hata pua hakupenyeza kilichokuwa kinatokea ni mashabiki wayanga walijitahidi kupokea wageni, jezi zao kuvaa.

Kushangilia na hata kutoa siri za simba kwa mpinzani kupitia haya wamekuja na ajenda ya kuwa kuweka solidarity kwa sababu yanyuma kwa kuyachukulia ukubwa tutaharibu yao watulie wawe wapole na ikumbukwe ukifanya baya majibu yake ni hapa hapa yanga wakubali tu walichokifanya sio chema na kutafuta namna ya kujisafisha wasikandamize watu
 
Solidarity hiyo wnayoitaka waanzie kwenye Mali zote za Nchi hii.... Wote tule sawa....
 
Sasa nani anataka usolidarity na wewe...tukifungwa na nyie tutahakikisha mnafungwa...
Haya waiteni tena ma sheikh wenu wa zanzibar waje waroge na kesho tufungwe, mazuzu mshatapeliwa na ma sheikh feki wa zenjibar, poleni sana madunduka
 
Siasa mbaya sana
 
Haya waiteni tena ma sheikh wenu wa zanzibar waje waroge na kesho tufungwe, mazuzu mshatapeliwa na ma sheikh feki wa zenjibar, poleni sana madunduka
Kwamba nyie sio wanga? Hahahaha nyie tena..majini yenu leo myaombee japo ni majini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…