Hakuna chama kilichotamba duniani kama Baath Party

Watanzania wengi hawaitaki ccm tatizo upimzani wameshindwa kujipanga kama wangejipanga au kuwa na watu makini watu milioni kumi na nne waliokataa kupiga kura robo tatu wangepiga kura.

CCM inashinda kutokana na madhaifu ya wapinzani.
 
Sidhani kama unaweza kukiri, ila umetumia mfano mbovu na ndo maana pushback ya watu imekuwa jinsi ilivyo.

Chama cha Ba’ath na mambo yaliyopelekea kudondoka kwake ni tofauti sana na mazingira yetu hapa Tanzania na CCM.

Kwamba sijui mazingira ya CCM na Baath ni tofauti kabisa?

Au sijui Africa kuna vyama vingine kandamizi kama huko Rwanda na Uganda na bado vinadunda?
 
Iraq democracy ndio imeshamiri?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
IS/ISS, suicide bombs, kidnapping for ransoms etc are order of the day, and we call that democracy!

Nakubaliana kabisa kuwa si vema kupoka ushindi wa vyama vingine kimagumashi, ila kama kweli democracy ingekuwa ipo Iraq, hata Baath party ilistahili Kupewa nafasi kushiriki kwenye democracy hiyo.
 
Two wrongs do not make it right.

Kama now Iraq ni pabaya zaidi haiondoi ukweli Baath walichangia kufika hapo
 
Yanayoikuta Iraq tunayajua.
Hali yq Iraq inasikitisha tofauti na unavyosema.
Iraq ni shida unadai kuna demokrasia.
Demokrasia ipi Uraq iliyopasuka!
Kama ndio Demokrasia hiyo itupite tuu.
 
Two wrongs do not make it right..

Kama now Iraq ni pabaya zaidi
Haiondoi ukweli Baath walichangia kufika hapo

Indeed I dont support what Sadam and his gang were doing. And if two wrongs dont make something right, barring the Baath party to exist is not a democracy that people are talking about.
 

Ngoja niitafute hotuba ya George Bush nadhani itatatua ubishani uliopo kati yako na huyo jamaa, kwa kifupi sana kabla sijaileta,USA ilitoa idadi ya zaidi ya watu 50 ambao walikuwa most wanted kule Iraq akiwemo Saddam na wanachama wenzie wa hiko chama ambao iliwatuhumu pamoja na mambo mengine ukiukwaji wa haki za binadamu.

katika hotuba yake nyingine wakati anahotubia bunge la Marekani George bush alisema sababu za kwanini marekani ivamie Iraq akataja pia uminywaji wa Democrasia,akamtuhumu saddam kumiliki weapons of mass destruction na akaongelea mauaji ya raia ambavyo vyote vilisimamiwa na chama,

Hivyo basi kukitoa chama madarakani ilikuwa ni moja ya sababu ya kuvamia Iraq. unachosema ni sawa sawa na mtu aseme uvamizi wa allied forces ujerumani haukulenga kukitoa chama cha Nazi madarakani wakati baada ya vita viongozi wote wa Chama cha Nazi walipelekwa nuremberg trial na chama cha Nazi kikafutwa kabisa.
 
Baath party walikuwa maharamia haswa
 
Nazi. Sijui kama nimetaja vizuri. Hao jamaa waliua vibaya sana.

Kiufupi.

HAKUNA JAMBO JIPYA DUNIANI.

"Wasiosoma ni chakula cha wasomi, wasomi Ni chakula cha wanasiasa, wanasiasa Ni chakula cha wafanyabiashara".
Kwa hiyo tunakulana??? Hahahahaaa...
 
Bro ona aibu ata kidogo Iraq hii hii iliyogeuka magofu na vita ya wenyewekwa wenyewe, unaisifu ina demokrasia na inachagua wabunge wanaotakiwa.
Kwa hiyo kabla ndo kulikuwa na demokrasia bora kuliko hii ya sasa?
 
Hoja nzito.... Ukweli mtupu...
 
Mbona sioni post namba moja ya uzi huu!? Post imeanzia namba mbili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…