Hakuna dawa inayoua taratibu. Dawa kazi yake kutibu, msidanganywe

Hakuna dawa inayoua taratibu. Dawa kazi yake kutibu, msidanganywe

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Nafahamu kweli mfano metronidazole inaleta side effect chapu tena inaweza ikaua kabisa ukichanganya na pombe

Ila sijasikia dawa eti inaleta side effect taratibu.

Kama ipo itaje, taja na side effect yake tujifunze.
 
Nafahamu kweli mfano metronidazole inaleta side effect chapu tena inaweza ikaua kabisa ukichanganya na pombe

Ila sijasikia dawa eti inaleta side effect taratibu.

Kama ipo itaje,taja na side effect yake tujifunze.
Madawa yapo mengi tu hasa ya magonjwa ya moyo na kisukari. Yanakufanya uwe mteja, ununue dawa hadi unakufa
 
Hakuna dawa zinazotumiwa katika matibabu ambazo zinakusudiwa kuua mtu taratibu baada ya kuzinywa. Kwa kweli, dawa zote zinazotumiwa katika matibabu huchaguliwa kwa makini ili kuhakikisha kuwa zina faida kwa mgonjwa na kwamba hazina madhara makubwa kwa afya yake.

Matumizi mabaya ya dawa inaweza kuwa hatari na inaweza kusababisha athari mbaya kwa afya yako. Ili kuepuka matatizo hayo, ni muhimu kuzingatia maagizo ya daktari kwa umakini na kuepuka matumizi yasiyo sahihi ya dawa.
 
Hakuna dawa zinazotumiwa katika matibabu ambazo zinakusudiwa kuua mtu taratibu baada ya kuzinywa. Kwa kweli, dawa zote zinazotumiwa katika matibabu huchaguliwa kwa makini ili kuhakikisha kuwa zina faida kwa mgonjwa na kwamba hazina madhara makubwa kwa afya yake.

Matumizi mabaya ya dawa inaweza kuwa hatari na inaweza kusababisha athari mbaya kwa afya yako. Ili kuepuka matatizo hayo, ni muhimu kuzingatia maagizo ya daktari kwa umakini na kuepuka matumizi yasiyo sahihi ya dawa.

”All drugs are toxic are designed to treat sympotoms and not to cure any one” Dr Allan Greenberg MD
 
Back
Top Bottom