Hakuna faida ya kuwa na marafiki

isee uko kama mimi,me marafiki wa kipuuzi puuzi sina,ushenzi wa kuwa na marafiki muda wote wanaongea pumba na kulia njaa me sitakagi kabisa,weekend nikichoka naenda zangu kula mtungi narudi home kimya kimya ile mambo ya kufatana fatana kama ruba ni kuambukizana upuuzi tu
 
"Marafiki sihataji hawaletagi Maendeleo"

Labda baadae wakitokea aje mmoja wa kuongea nae na mmoja wa kumuongelea
 
Marafiki weng ni hatari sana hata M.Mungu katuonya katika maandiko yake Matakatifu!!!..
 
Safi kabisa nadhani mtizamo wako wewe ndo upo sahihi.. Kula five Kaka umetisha mtoa maadA lazima ajue kuwa watu wametofautina maisha, vipato na mambo mengi muhimu ni kwenda nao vizur.. huwezi kusema hutaki marafiki akati Kuna shughuli nyingine Bila watu haziendi.. Unaonaje ikiwa una marafiki saba na wote Wana uwezo halafu kwenye harusi au msba au janga lolote wakajitokeza Hao saba tu. Mwisho tupendane wote
 
Dah mimi ninao wanne tu! kati yao yupo ndugu wa tumbo moja....watu waliobakia ni kusalimiana, hamna cha zaidi.
 
Marafiki!?.. Sina hata mmoja sielewi kazi yao ni ipi hasa
 
Dah....mimi nipo wazi kabisa kama ni mvivu halafu hata wazo lolote la kutoka kimaisha huna....nakupigachini... Labda uwe dem[emoji4]
 

Ndiooooo
 
Kimsingi Urafiki ni swala la kijamii..
Ndo maana mtoto anapokuwa around miaka 4/5 tunajiuliza kama ame-achieve social milestone ya 'uwezo wa kujenga na kuendeleza urafiki'..urafiki unakujenga kihisia, uwe mvumilivu, honest, courageous na virtues zingine, urafiki unakupa kumbukumbu njema...urafiki ni mtamu...
So binafsi sioni haja ya kufanya urafiki kuwa solely swala la kiuchumi..hatuishi ili tupate pesa tu..WE ARE LIVING A LIFE.
I have very good friends who are poor and stupid friends who are rich..I love all of em as long as they bring hapinness than money does.
Poor friends are like a coat of many colors Dolly parton talked of.
Anyway, Cha msingi ni kuwa na watu wanaoendana na attitude yako.
 
kweli hali ya uchumi imeporomoka tunaanza kukataa hadi marafiki
 
alafu matajiri wengi mabahili
 
Hii Mada yako ina ukweli mtupu.

Btw: We Don Need Friends Nowdays

"We Only Needs Business/ Educational Partners"

Marafiki wengi wanafiki / mzigo.
Kweli kabisa
 
nahis it goes with age unapozd kukua ndio circle inapopungua
 
Mlundikano wa marafiki hewa wasio na faida yoyote ndo kitu kinachopingwa, soma vizuri post
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…