Hakuna faida ya kuwa na marafiki

Hakuna faida ya kuwa na marafiki

isee uko kama mimi,me marafiki wa kipuuzi puuzi sina,ushenzi wa kuwa na marafiki muda wote wanaongea pumba na kulia njaa me sitakagi kabisa,weekend nikichoka naenda zangu kula mtungi narudi home kimya kimya ile mambo ya kufatana fatana kama ruba ni kuambukizana upuuzi tu
Lakini angalia usijekumbwa na tatizo la msongo
 
Stunter eeh ! ! Leo umenikosha zaidi kwa hili la marafiki. Ingawa hata huyo rafiki yako mwenye biashara unaweza kumtafutia wateja, siku ukiwa na shida akakuambia; " duu, ndiyo nimetoka kulipia deni na kodi hivi pund tu!!! Hayo ndiyo maisha.
 
Stunter eeh ! ! Leo umenikosha zaidi kwa hili la marafiki. Ingawa hata huyo rafiki yako mwenye biashara unaweza kumtafutia wateja, siku ukiwa na shida akakuambia; " duu, ndiyo nimetoka kulipia deni na kodi hivi pund tu!!! Hayo ndiyo maisha.
Binadamu huwa tunabadilika, kwahiyo unapotoa, toa bila kukumbuka
 
Smart people wana small circle (marafiki wachache) kwasababu huangalia kama huyu Rafiki yangu ni 1. Asset au 2. Liability.
 
Back
Top Bottom