Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Wakuu kuna jambo haliko sawa na tutakumbuka shuka tukiwa tumechelewa. Wawekezaji wote wanaokuja hapa huwa wanapambwa sana na wanasiasa mwisho wa siku tunaibiwa kizembe. Kipindi cha EPA mpaka viongozi wa dini walihongwa, hivyo tusidanganyike kizembe.
Tafadhali Mh Raisi, kwenye hili la ubinafsishaji anzieni kwenye bandari za Zanzibar tuone itakavyokuwa, DP World sio washamba kiasi hicho.
Wananchi tuungane kupiga kura kwenye hii petition kupinga unyonyaji huu utakaofanya vizazi vyetu vitushangae.
Tafadhali Mh Raisi, kwenye hili la ubinafsishaji anzieni kwenye bandari za Zanzibar tuone itakavyokuwa, DP World sio washamba kiasi hicho.
Wananchi tuungane kupiga kura kwenye hii petition kupinga unyonyaji huu utakaofanya vizazi vyetu vitushangae.