Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Kama kweli alizua uongo acheni sheria ifuate mkondo. Japokuwa Nape sio, lakini msimsakame kama vile amefanya kwa amri zake binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaAmesahau alivyotembea kutoka ocean road hadi Ikulu
Nape ni waziri kwa sasa. Anaongoza wizar kwa kufuata sheria. Sheria kandamizi za Magufuli mpk leo hazijabadiloshwa. Mnataka Nape afanyeje ktk mazingira kama haya?
Wa kulaumiwa hapa ni Samia.
Kwaio alaumiwe nani?Kama kweli alizua uongo acheni sheria ifuate mkondo. Japokuwa Nape sio, lakini msimsakame kama vile amefanya kwa amri zake binafsi.
View attachment 2285486
Mjane katika ubora wako.Kama kweli alizua uongo acheni sheria ifuate mkondo. Japokuwa Nape sio, lakini msimsakame kama vile amefanya kwa amri zake binafsi.
View attachment 2285486
Shahidi wa hilo ni Hamorapa..Nape amesahau alivyonusurika kupigwa risasi?
..amshukuru Maulidi Kitenge kuingilia na kumuokoa siku ile.
Sukuma gang mtanyookaNape na Makamba wana laana ya kushangilia msiba
Nimepitia maa nyingi account ya Twitter ya Nape Nnauye.Ki ukweli anatakiwa ajue nafasi aliyo nayo na ikiwezekana apunguze jazba.Nchi ina watu wengi na wa tabia tofauti na akitaka kujibu kila kitu ataharibu!!
Waziri gani anaropoka katika mitandao namna hii? Mbona magu alimsamehe alipokuwa akimteta na akarekodiwa ,anajishushia cvKama kweli alizua uongo acheni sheria ifuate mkondo. Japokuwa Nape sio, lakini msimsakame kama vile amefanya kwa amri zake binafsi.
View attachment 2285486
Kitenge ni mtu mjinga sana angeacha jamaa afumuliwe fuvu..Nape amesahau alivyonusurika kupigwa risasi?
..amshukuru Maulidi Kitenge kuingilia na kumuokoa siku ile.
Kwanini hajapeleka mswaada bungeni zibadilishwa kama si mumoja kwa wanaoleta dhurumaNape ni waziri kwa sasa. Anaongoza wizar kwa kufuata sheria. Sheria kandamizi za Magufuli mpk leo hazijabadiloshwa. Mnataka Nape afanyeje ktk mazingira kama haya?
Wa kulaumiwa hapa ni Samia.
Hakujua, pia Watanzania hatukujua. Tulisimama na Nape kipindi hicho, sasa tunajutiaKitenge ni mtu mjinga sana angeacha jamaa afumuliwe fuvu
Magufuli alikuwa na huruma sana ningekuwa mimi ndiyo Rais wangejua wawajui..Nape amesahau alivyonusurika kupigwa risasi?
..amshukuru Maulidi Kitenge kuingilia na kumuokoa siku ile.