Viongozi wetu wanatuambia sasa mashine 3 kati ya 9 za bwawa la umeme la Nyerere zinazalisha umeme na inavyoonekana mashine 1 hadi 2 zinazalisha umeme wa ziada ambapo ni 235MW kila moja.
Taarifa za TMA zinaonesha kutakuwa na ukame kuelekea mwisho wa mwaka hadi mwanzo wa 2025. TANESCO ili kuepuka mgao umeme wa ziada ungezimwa ili kuhifadhi maji kwa ajili ya uzalishaji wa umeme kipindi cha ukame.
Taarifa za TMA zinaonesha kutakuwa na ukame kuelekea mwisho wa mwaka hadi mwanzo wa 2025. TANESCO ili kuepuka mgao umeme wa ziada ungezimwa ili kuhifadhi maji kwa ajili ya uzalishaji wa umeme kipindi cha ukame.