Wazo zuri, hivi umeme wa ziada unakuwaje, namba wajuzi mnifahamishe tafadhali,Viongozi wetu wanatuambia sasa mashine 3 kati ya 9 za bwawa la umeme la Nyerere zinazalisha umeme na inavyoonekana mashine 1 hadi 2 zinazalisha umeme wa ziada ambapo ni 235MW kila moja. Taarifa za TMA zinaonesha kutakuwa na ukame kuelekea mwisho wa mwaka hadi mwanzo wa 2025. TANESCO ili kuepula mgao wa umeme umeme wa ziada ungezimwa ili kuhifadhi maji kwa ajili ya uzalishaji wa umeme kipindi cha ukame.
Ni mitambo kuzalisha umeme usiohitajika sasa CCM wasipokumbushwa wataacha mpaka maji yaishe bwawani alafu watatuletea siasa zisizo na mantiki yoyote.Wazo zuri, hivi umeme wa ziada unakuwaje, namba wajuzi mnifahamishe tafadhali,
Du, kumbe ndio hivyo, Yani unazalisha umeme ambo hauutumiii,Ni mitambo kuzalisha umeme usiohitajika sasa CCM wasipokumbushwa wataacha mpaka maji yaishe bwawani alafu watatuletea siasa zisizo na mantiki yoyote.
Hahaha umenena yaliyo ya kweliuko sawa kabisa,shida huko Tanesco ukute wameajiri ng'ombe tupu.
Mgao ni sherehe kwa wakubwa kupiga pesaViongozi wetu wanatuambia sasa mashine 3 kati ya 9 za bwawa la umeme la Nyerere zinazalisha umeme na inavyoonekana mashine 1 hadi 2 zinazalisha umeme wa ziada ambapo ni 235MW kila moja. Taarifa za TMA zinaonesha kutakuwa na ukame kuelekea mwisho wa mwaka hadi mwanzo wa 2025. TANESCO ili kuepuka mgao wa umeme umeme wa ziada ungezimwa ili kuhifadhi maji kwa ajili ya uzalishaji wa umeme kipindi cha ukame.
Majangili tupu yamejazana hukouko sawa kabisa,shida huko Tanesco ukute wameajiri ng'ombe tupu.