Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilifikiri kuna jambo.....
Siasa rahisi zinawatoa jasho lkweli....Kwa hiyo hapa ndio umejibu Hoja ya Upotevu wa Trillion zetu Mkuu ?.😳🙄
Hakuna jambo lisilo na utetezi..Mtabishana watu wanawachora tu...
Ni awamu hii au nyingine
Siasa rahisi zinawatoa jasho lkweli....
Hehehe lete hizo budget acha maneno mengi..Ninini bro ulichoandika hapa?
Tafuta kitanda ulale kesho hizo pombe unazokunywa hapo ukiamka nazo hiyo hangover yake kibaruani kwako jioni utakutana na barua ya onyo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ktk professional ya ukaguzi lazima evidence iwepo, kama kuna hilo ni muhimu kufuata sheria za fedha.Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
Ktk professional ya ukaguzi lazima evidence iwepo, kama kuna hilo ni muhimu kufuata sheria za fedha.
Ukiletewa ushaidi hapa usitishie watu kuliwa na MambaKama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
sasa damu ya ben saanane naona zimeanza kukupiga ngeta unakuwa mwehu muda si mrefu pambafKama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee