Tetesi: Hakuna hata senti tano imepotea ukweli huu hapa

Tetesi: Hakuna hata senti tano imepotea ukweli huu hapa

Ninini bro ulichoandika hapa?

Tafuta kitanda ulale kesho hizo pombe unazokunywa hapo ukiamka nazo hiyo hangover yake kibaruani kwako jioni utakutana na barua ya onyo

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Ninini bro ulichoandika hapa?

Tafuta kitanda ulale kesho hizo pombe unazokunywa hapo ukiamka nazo hiyo hangover yake kibaruani kwako jioni utakutana na barua ya onyo

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hehehe lete hizo budget acha maneno mengi..
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
Ktk professional ya ukaguzi lazima evidence iwepo, kama kuna hilo ni muhimu kufuata sheria za fedha.
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
Ukiletewa ushaidi hapa usitishie watu kuliwa na Mamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki hazijapptea, ni tabia za Wazindaki kisema Propaganda za Viroja
 
Nimefurahi sana kugundua kuwa wewe ni fundi wa kuliamsha dude. Kwa hiyo ukaona kwa maneno hayo ya kujificha kwenye hiyo wizara mnaweza tu kujilambia ma tril yetu nasi tukanyamaza kimya?? Haya tumekubali yaishe sasa furahi, Kesi hii haitamalizwa kwa kutishia watu. Waelezeni watu au muwape nafasi wawasemeee hadi nyongo zao zipasuke nadhani watakosa pumzi.
 
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK.
Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama salimini...
Magu Oyeee
sasa damu ya ben saanane naona zimeanza kukupiga ngeta unakuwa mwehu muda si mrefu pambaf
 
Siku hizi kila mapungufu mnasakzia jeshi

Acheni kulitumia jeshi kisiasa!
Vote 20 ni code ya magogoni siyo ya Jeshi, Jeshi lina channel yake tofauti ambayo hata CAG anaijua, na kuna utaratibu maalum wa kupeleka pesa huko!

Sasa CAG kasema bilion 976.96 zilitolewa bila KUFUATA PROPER AUTHORITY, nani kakwambia PESA zikienda kwenye jeshi huwa haitakiwi kufuata PROPER AUTHORITY ?
 
Back
Top Bottom