Pre GE2025 Hakuna jambo analolifanya Tundu Lissu ambalo Maalim Seif Shariff Hamad hakulifanya katika kusaka Dola na hakufanikiwa

Pre GE2025 Hakuna jambo analolifanya Tundu Lissu ambalo Maalim Seif Shariff Hamad hakulifanya katika kusaka Dola na hakufanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Lisu analeta uongozi wa kiuharakati kama enzi tukiwa shuleni tulivyokuwa tunaponzwaga na mob pyschology
 
Kuna njia moja tu, ikitumika Chama .Cha .Mende kinaenda kuwa chama Cha kiharamia.
Ila damu za Nzige lazima zitamwagika nyingi.
Ki
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Maccm mtaacha lini upumbavu, kama Marehemu Seif alifanya hayo hakufanikiwa kwa hiyo wengine wakunje mikono tu wasubiri kutekwa na kuuwawa na CCM na vyombo vya dola? Kama mnaona anachofanya Lissu hakina tija nyie shida yenu nini?Mumekalia umbea kama machangudoa vile. Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Kutofanikiwa kwa Maalim Seif hakuweza kuwa sababu ya kutofanikiwa Tundu Lissu.

Maalim Seif alipigana vita, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi Mzee huyu, amuondolee adhabu Kaburi na kumsamehe dhambi zake.
 
Hata manabii na mitume waliongelea na kufundisha watu waache ubaradhuli,wizi,uongo,ulaghai,ujambazi,tamaa za kujilimbikizia mali,kiburi,umalaya,ufiraji,ulevi, ushamba wa madaraka n.k
Walihubiri viongozi watende haki na wasiwaonee wanao waongoza wala wasiibe mali zao, wala wasiwashitaki kwa uongo,watosheke na mishahala yao.
Ccm wanafanya yote kuua,kudhulumu,kuiba, kuonea,kushtaki watu kwa makosa ya uongo,kuteka ,kutesa,kufira,kulawiti,kubaka, na mauchafu mengine yote.
Lissu anatimiza wajibu wake ili wananchi wasije wakamlaumu MUNGU kuwa hakuwasaidia maana anaesababisha umasikini wao na mateso makali anatangazwa kila siku na wanasikia hivyo wanaangamia kwa kukosa maarifa sio kwa mapenzi ya MUNGU.
 
Bora kuwa na mihemko kuliko kuwa CHAWA MWEUPE KICHWANI ..... Ni bora anayegombea uraisi kupitia pesa za wanyonyonge kuliko pesa za warabu wa Bandar. Nyerere alienda UN kudai uhuru kwa pesa za nani kama siyo za wanyonge?
Jifunze kusoma ili usiwe KASUKU
Haya majangili ya mali za umma haya akili kabisa
 
Bora kuwa na mihemko kuliko kuwa CHAWA MWEUPE KICHWANI ..... Ni bora anayegombea uraisi kupitia pesa za wanyonyonge kuliko pesa za warabu wa Bandar. Nyerere alienda UN kudai uhuru kwa pesa za nani kama siyo za wanyonge?
Jifunze kusoma ili usiwe KASUKU
una dalili zote za kua umetapeliwa pesa tayari na inakuuma kweli :pedroP:
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Sasa ifanye siasa kuwa maisha yako achana na soka sasa imetosha.
 
Lisu ni tapeli
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Lisu ni tapeli la kisiasa .Mbowe ni kiongozi bora
 
Mkongwe Maalim Seif hadi anakwenda kwa muumba wake (Mwenyezi Mungu amrehemu na ampunguzie adhabu za kaburi) amefanya Kila jitihada za kuingia Ikulu ya Zanzibar lakini hakufanikiwa, hakuna mkakati, mpango, mbinu ambazo Maalim hakuzitumia.

Kwa mfano Leo Tundu Lissu anasema No reforms no elections, Maalim Seif alikuwa na Jino kwa Jino na Ngangari, akatumia sana neno Hakiiiiii asiyependa Haki.Hakufanikiwa kabisa.

Lissu anasema ataingia barabarani kupinga uchaguzi endapo mabadiliko yasipofanyika, Maalim Seif aliwahi kuwafanyisha sana maandamano wananchi wa Zanzibar na Bara na wengi walipoteza maisha katika kile walichokidai wanatafuta haki.

Tundu Lissu ameanza kwenda kulalamika kwa mabeberu na juzi ameonekana akiwa na Balozi wa Norway nchini, kumbuka yeye ndio anawaambia watanzania kuwa wazungu wanatuibia na yeye ndio huyo huyo anakimbilia kwao kulalamika wamsaidie akianzisha no reforms no elections, hiyo kukimbia kwenye taasisi za kimataifa Seif ndio alibobea huko, nchi zote Maalim Seif alikwenda, alikunywa chai, alikuwa wali, alipewa makaratasi ya Kila aina na mwisho alikutana na Tanzania is a sovereign country.Hakufanikiwa.

Kwa hiyo Lissu hana jipya, amebaki kufoka tu, halafu hana kabisa uwezo wa kuongelea mambo ya kijamii, yeye Kila siku akialikwa ameshikilia no reform no elections, hana agenda za kitaifa kama mwenzake Mbowe, Mbowe alikuwa akiitisha Press mm hapa Lushoto hata nikisikia kuwa amepanga kuongea Huwa namsikiliza sio huyo Lissu, kelele, majigambo na majivuno kibao kumbe maarifa sifuri.
Jinsi unavyoongelea hizi hoja..utadhani
 
Back
Top Bottom