Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauti ya pili ya kike mnasehemu yenu special pale kwa BabaUngekuwa karibu ningekuimbia na sauti yangu ya pili hii,,, hakuna kabisa dawa ya makosa, ya kututakasa ila damu yake yesu,...
Asante sana, maana nakosaga kujiamini na huu mbesi,Sauti ya pili ya kike mnasehemu yenu special pale kwa Baba
Sauti ya pili ni kwa wateule wachache, Fanya tuipate mkuu pita pita hata kwa rajab zomboko pale tule chuma mkuuAsante sana, maana nakosaga kujiamini na huu mbesi,
78 Sioshwi dhambi zanguAnayeijua hii tenzi anisaidie kwa kuipata na kama ana link ya audio anisaidie
Tatizo aibu zinanifelisha sana, nilishaombwa mno kuimba kwaya, ila nikiwa mwenyewe sasa naimba balaa😂😂Hahah Sauti ya pili ni kwa wateule wachache, Fanya tuipate mkuu.. pita pita hata kwa rajab zomboko pale tule chuma mkuu
😀😀😀😀😀 na yeye atakuonea aibuTatizo aibu zinanifelisha sana, nilishaombwa mno kuimba kwaya, ila nikiwa mwenyewe sasa naimba balaa😂😂
Jamaniii acha basi😀😀😀😀😀 na yeye atakuonea aibu
Au ukizeeka ndo utajiungaJamaniii acha basi
😂😂😂Kuimba mbele za watu sio fani yangu tuAu ukizeeka ndo utajiunga
Itakuwa O negative (universal donor)Hivi yesu alikuwa na blood group gani??