Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kiukweli kama unajua, unajua tu !
- Binafsi mimi ni mdau mkubwa sana wa muziki, namaanisha MUZIKI ambao una mpangilio mzuri wa maneno, melody na beats zinazoeleweka.
- Msanii Beka Flavor kwa sasa kiukweli anajua, ukisikiliza ngona zake ndo utajua kabisa bongo flavor imepata mkombozi
- Tunataka kupumzika kutoka kwenye muziki uliojaa MADRAMA YA NGONO, NIGERIAN FLAVOR na FLEVA ZA KUUNGA UNGA !
- Kuanzia sasa mimi nitakuwa shabiki mkubwa wa BEKA FLAVOR kwa Tanzania kwa kuwa nimechoka kulazimishwa kusikikiza ngoma mbovu eti kwa sababu tu ya ukubwa wa PROMO.
BEKA FLAVOR HITS:
1. Libebe
2. Sikinai
tps://www.youtube.com/watch?v=2FfRDWRtqs8
3. Sarafina
4. Kiben-Ten
Mbali na Beka Fleva, mimi pia ni shabiki mkubwa wa CHEMICAL
Nani anawakubali pia wasanii hawa !!
- Binafsi mimi ni mdau mkubwa sana wa muziki, namaanisha MUZIKI ambao una mpangilio mzuri wa maneno, melody na beats zinazoeleweka.
- Msanii Beka Flavor kwa sasa kiukweli anajua, ukisikiliza ngona zake ndo utajua kabisa bongo flavor imepata mkombozi
- Tunataka kupumzika kutoka kwenye muziki uliojaa MADRAMA YA NGONO, NIGERIAN FLAVOR na FLEVA ZA KUUNGA UNGA !
- Kuanzia sasa mimi nitakuwa shabiki mkubwa wa BEKA FLAVOR kwa Tanzania kwa kuwa nimechoka kulazimishwa kusikikiza ngoma mbovu eti kwa sababu tu ya ukubwa wa PROMO.
BEKA FLAVOR HITS:
1. Libebe
2. Sikinai
tps://www.youtube.com/watch?v=2FfRDWRtqs8
3. Sarafina
4. Kiben-Ten
Mbali na Beka Fleva, mimi pia ni shabiki mkubwa wa CHEMICAL
Nani anawakubali pia wasanii hawa !!