Hakuna kama Mayele Tanzania

Namba za JEAN BALEKE zinatisha[emoji1316][emoji1316] amefunga mfululizo kwenye mechi tano (5) za mashindano yote [Ligi Kuu, Kombe la Shirikisho la TFF na Ligi ya Mabingwa Afrika].

Katika hizo mechi tano (5) amefunga jumla ya magoli 11 ikiwa ni hat-trick mbili, magoli mawili (brace) kwenye mechi moja mara mbili na goli moja kwenye mchezo mmoja!

[emoji460]️[emoji460]️ vs Ihefu [NBC PL]
[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️ vs Ihefu SC [ASFC]
[emoji460]️ vs Raja AC [CAF CL]
[emoji460]️[emoji460]️ vs Horoya AC [CAF CL]
[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️ vs Mtibwa Sigar [NBC PL]
 
Hao ndio Yanga mzee inabidi tuwazoee kama tulivuosimuliwa changamoto zao
 

Yaani Mayele amecheza mechi 35 tu? Nina shaka na takwimu hizi
 
Wenye akili ni hao [emoji111]
 
Ni jumapili tu huyo BAREHE wao watamuona kama WAWA tu
 
Mchezaji bora aliyeishia msimu uliopita kupewa kiatu cha mfungaji bora, kinachofanana na cha Papa Ndaw.
 
Simba, wao kufungqa na Yanga, WANASEMA NI NI BORA AFUNGE YEYOTE LAKINI SIYO MAYELE..!!! Ushangiliaji wa Mayele unakera sana wasiompenda wallah..!! Sisi tuompenda, akitetema tunatetema naye kwa raha zetu
 
Simba, wao kufungqa na Yanga, WANASEMA NI NI BORA AFUNGE YEYOTE LAKINI SIYO MAYELE..!!! Ushangiliaji wa Mayele unakera sana wasiompenda wallah..!! Sisi tuompenda, akitetema tunatetema naye kwa raha zetu
Naamini ndio ushabiki japo sikuhizi watu wanaweka chuki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…