Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwanamuziki Tyla ameweka rekodi kwa kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo tatu usiku mmoja katika tuzo za MTV European Music Awards (EMAs) za mwaka 2024 zilizofanyia usiku wa kuamkia leo Manchester.
Tyla ameshinda Tuzo ya Best Afrobeats, Best R&B Award na Tuzo ya Msanii Bora wa Afrika, hatua iliyomfanya kuwa gumzo na kuongeza hadhi yake kimataifa katika tasnia ya muziki.
Pia, Soma:
Pia, Soma: