Hakuna Kauli mbovu na ya kizembe niliyowahi kuisikia kama hii ya "Tafuta Hela"

Hakuna Kauli mbovu na ya kizembe niliyowahi kuisikia kama hii ya "Tafuta Hela"

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
One of the most reckless statement ever...
Kauli ya kizembe sana..

Mtu anafanya kaz serikalin au kwa Kampuni binafsi unamwambia tafuta hela?
Unataka aibe au?

Na hii kauli ya reja reja sio ya bahati mbaya, ni ya machekbobu wanaotamba kwenye mitandao na scraps za dola 10-15k.

Hii kauli inakuwa ya kizembe zaid inavyotolewa na viongozi.

Asili ya neno hili ni tafsiri sisisi ya neno la kimombo " make money" kutoka kwa ma hustlers wa kimarekani wanaofanya biashara za drugs, raps nk... biashara zenye uharam flani hivi.... ndio mambo ya make money yameanzia...

Unamwambiaje Daktari au Mfamasia au Nurse, Mwanajeshi, Zimamoto, Mwalimu Polisi a make money? Unataka waue watu Au wafanye side huslte ambazo zitaondoa ufanisi wao wakaz.

Vijana wanatakiwa wahimizwe kufanya kaz kwa bidii, sio kutafuta pesa.

Hata kwenye biashara halali, no one is doing it only for money.

Na pesa kwenye biashara sio hadithi za siku au mwaka mmoja.. ni effort ya miaka nenda rudi.

Kusema kweli hii kauli ni mbovu na ya kizembe iliyojaa majivuno sana...

Uki comment Tafuta hela nakuweka kwenye " ignore" list😂
 
Ukiona hiyo kauli inaonyesha kwamba hamna Excuse kwa namna yeyote ile uwe na pesa na hii wanatumia sana wazungu ,kwa sababu hawa dili zote wanatembea ili mradi pesa ipatikane.

Maisha ya nje ni tofauti kule kila mtu anapambana kulipa bills 😅si mwanamke wala mwanaume.
 
Kauli ya kishamba iliopewa nguvu sababu inatumika ku "Disvalue" watu. Kiufupi tunaweza kuuita ni kejeli.

Mtu makini hawezi tumia kauli hii.
Kabisa mkuu.

Sasa mtu ni Researcher au Prof. Au mtaalam wa Pathology unamwambia tafuta hela... anazitafuta wapi?

Kauli iliyokosa maadili na ku degrade nguvu ya shughuli nyingine za kijamii.
 
Mara nyingi watu masikini au wenye akili za kimasikini ndo wanapenda kuwaambia wengine "tafuta hela"..
As if wote shida zetu zinahitaji hela..

Wapo watu Wana hela na Wana shida zingine...

Hii kauli ni ya kishamba Sana...ndo imechochea ukahaba na culture ya kikahaba Kwa kuaminisha watu hela ndo kilakitu
 
Ukiona hiyo kauli inaonyesha kwamba hamna Excuse kwa namna yeyote ile uwe na pesa na hii wanatumia sana wazungu ,kwa sababu hawa dili zote wanatembea ili mradi pesa ipatikane.

Maisha ya nje ni tofauti kule kila mtu anapambana kulipa bills 😅si mwanamke wala mwanaume.
Kwa ulaya nakuelewa sana, lakini sio kauli njema kuhamasisha utafutaji.

Life is more than just paying bills..

Sasa kweli kibongo bongo hela ya kulipa bill ndio umwambie mtu tafuta pesa?😀
 
Mara nyingi watu masikini au wenye akili za kimasikini ndo wanapenda kuwaambia wengine "tafuta hela"..
As if wote shida zetu zinahitaji hela..

Wapo watu Wana hela na Wana shida zingine...

Hii kauli ni ya kishamba Sana...ndo imechochea ukahaba na culture ya kikahaba Kwa kuaminisha watu hela ndo kilakitu
Kabisa mkuu.

Inachochea sana kuvuruga maadili.
 
One of the most reckless statement ever...
Kauli ya kizembe sana..

Mtu anafanya kaz serikalin au kwa Kampuni binafsi unamwambia tafuta hela?
Unataka aibe au?

Na hii kauli ya reja reja sio ya bahati mbaya, ni ya machekbobu wanaotamba kwenye mitandao na scraps za dola 10-15k.

Hii kauli inakuwa ya kizembe zaid inavyotolewa na viongozi.

Asili ya neno hili ni tafsiri sisisi ya neno la kimombo " make money" kutoka kwa ma hustlers wa kimarekani wanaofanya biashara za drugs, raps nk... biashara zenye uharam flani hivi.... ndio mambo ya make money yameanzia...

Unamwambiaje Daktari au Mfamasia au Nurse, Mwanajeshi, Zimamoto, Mwalimu Polisi a make money? Unataka waue watu Au wafanye side huslte ambazo zitaondoa ufanisi wao wakaz.

Vijana wanatakiwa wahimizwe kufanya kaz kwa bidii, sio kutafuta pesa.

Hata kwenye biashara halali, no one is doing it only for money.

Na pesa kwenye biashara sio hadithi za siku au mwaka mmoja.. ni effort ya miaka nenda rudi.

Kusema kweli hii kauli ni mbovu na ya kizembe iliyojaa majivuno sana...

Uki comment Tafuta hela nakuweka kwenye " ignore" list😂
Hiyo ni kauli ya watu masikini. Matajiri pesa zinawatumikia. Hawahangaiki nazo
 
Hizi zinatoka kwa wapatao pesa bila jasho mfano ma TP yaan matapeli,wezi,wapiga dili,wale wa hela za maagano
 
Kwa ulaya nakuelewa sana, lakini sio kauli njema kuhamasisha utafutaji.

Life is more than just paying bills..

Sasa kweli kibongo bongo hela ya kulipa bill ndio umwambie mtu tafuta pesa?😀
Bongo ni mwendo wa kucopy na kupaste


Ila huu ni msemo wa msimu utapita kwa bongo hii kwa sasa watu wameshift utasikia "zingati maokoto"😅
 
Ndio maana nikasema ni kauli inayotumika kama kejeli regardless ina ukweli kiasi gani.
Kabisa mkuu.

Sasa mtu ni Researcher au Prof. Au mtaalam wa Pathology unamwambia tafuta hela... anazitafuta wapi?

Kauli iliyokosa maadili na ku degrade nguvu ya shughuli nyingine za kijamii.
Hai make sense, watu wenye maarifa madogo ndio hutumia hii kauli.

Si kila mtu ana shida ya pesa pekee, wengine wana changamoto za afya mahospitalini huku wengine ni wafungwa jela ilihali pesa wanazo.

In a real sense mwajiriwa yeyote tayari yuko kwenye mkakati wa kutafta pesa. Wasioajiriwa pia wanatafta pesa kwa namna zinginezo. Kiufupi hakuna mtu ambaye haangaiki na pesa na ndio maana tunapata fursa ya kukutana huku. Ni pesa tayari imetumika.
 
Mara nyinyi ni kauli ya machawa kuwajaza wanaume wenzao ili watafute hela za kuwapa wao in exchange of kuwamwagia sifa na kuwatafutia wanawake.
 
One of the most reckless statement ever...
Kauli ya kizembe sana..

Mtu anafanya kaz serikalin au kwa Kampuni binafsi unamwambia tafuta hela?
Unataka aibe au?

Na hii kauli ya reja reja sio ya bahati mbaya, ni ya machekbobu wanaotamba kwenye mitandao na scraps za dola 10-15k.

Hii kauli inakuwa ya kizembe zaid inavyotolewa na viongozi.

Asili ya neno hili ni tafsiri sisisi ya neno la kimombo " make money" kutoka kwa ma hustlers wa kimarekani wanaofanya biashara za drugs, raps nk... biashara zenye uharam flani hivi.... ndio mambo ya make money yameanzia...

Unamwambiaje Daktari au Mfamasia au Nurse, Mwanajeshi, Zimamoto, Mwalimu Polisi a make money? Unataka waue watu Au wafanye side huslte ambazo zitaondoa ufanisi wao wakaz.

Vijana wanatakiwa wahimizwe kufanya kaz kwa bidii, sio kutafuta pesa.

Hata kwenye biashara halali, no one is doing it only for money.

Na pesa kwenye biashara sio hadithi za siku au mwaka mmoja.. ni effort ya miaka nenda rudi.

Kusema kweli hii kauli ni mbovu na ya kizembe iliyojaa majivuno sana...

Uki comment Tafuta hela nakuweka kwenye " ignore" list😂
Hiyo ni slogan tu. Lengo ni ku motivate mtu afanye extra effort ili afaidi vinono zaidi. Sasa wewe umetafsiri literally, hapo ndiyo umeingia cha kike. By the way, kama wewe ni muajiriwa, tafuta mbinu za kuiba pesa, siyo unategemea mshahara tu. Kwani Maharage Chande anatagemea mshahara wa TANESCO?
 
Hiyo ni slogan tu. Lengo ni ku motivate mtu afanye extra effort ili afaidi vinono zaidi. Sasa wewe umetafsiri literally, hapo ndiyo umeingia cha kike. By the way, kama wewe ni muajiriwa, tafuta mbinu za kuiba pesa, siyo unategemea mshahara tu. Kwani Maharage Chande anatagemea mshahara wa TANESCO?
Bhana bhana... sasa nyie mkaiba TANESCO na sisi wa DAWASCO tukaiba Chlorite si mtakunywa maji yenye vidudu mkuu?

Sasa hapo upo motivated kutafuta pesa au kufanya ubadhirifu?
 
Ukiona hiyo kauli inaonyesha kwamba hamna Excuse kwa namna yeyote ile uwe na pesa na hii wanatumia sana wazungu ,kwa sababu hawa dili zote wanatembea ili mradi pesa ipatikane.

Maisha ya nje ni tofauti kule kila mtu anapambana kulipa bills [emoji28]si mwanamke wala mwanaume.
Kibongo bongo ni tofauti, wengi wanatoa kwa kuonesha dharau kwa wasiokuwa na pesa au kwa sifa tu
 
Back
Top Bottom