Hakuna Kauli mbovu na ya kizembe niliyowahi kuisikia kama hii ya "Tafuta Hela"

Hakuna Kauli mbovu na ya kizembe niliyowahi kuisikia kama hii ya "Tafuta Hela"

MTU mwenye Akili timamu hawezi kumwambia mwenzake "tafuta hela" huu ni msemo wenye kejeli Tu Kwa watu.
Wajinga wenye milioni 2 bank ndiyo wanatumia misemo hii yakifala Ila Kwa MTU mwangaikaji hawezi kubeza maisha ya wengine kwasababu hapa duniani mpaji ni MUNGU Tu na unaweza kutafuta hiyo pesa masaa 24 na usipate hata mia
 
One of the most reckless statement ever...
Kauli ya kizembe sana..

Mtu anafanya kaz serikalin au kwa Kampuni binafsi unamwambia tafuta hela?
Unataka aibe au?

Na hii kauli ya reja reja sio ya bahati mbaya, ni ya machekbobu wanaotamba kwenye mitandao na scraps za dola 10-15k.

Hii kauli inakuwa ya kizembe zaid inavyotolewa na viongozi.

Asili ya neno hili ni tafsiri sisisi ya neno la kimombo " make money" kutoka kwa ma hustlers wa kimarekani wanaofanya biashara za drugs, raps nk... biashara zenye uharam flani hivi.... ndio mambo ya make money yameanzia...

Unamwambiaje Daktari au Mfamasia au Nurse, Mwanajeshi, Zimamoto, Mwalimu Polisi a make money? Unataka waue watu Au wafanye side huslte ambazo zitaondoa ufanisi wao wakaz.

Vijana wanatakiwa wahimizwe kufanya kaz kwa bidii, sio kutafuta pesa.

Hata kwenye biashara halali, no one is doing it only for money.

Na pesa kwenye biashara sio hadithi za siku au mwaka mmoja.. ni effort ya miaka nenda rudi.

Kusema kweli hii kauli ni mbovu na ya kizembe iliyojaa majivuno sana...

Uki comment Tafuta hela nakuweka kwenye " ignore" list😂
ni kauli ya kizembe na kishetani sana. haihamasishi bali inakwaza. zamani kabla sijapitia maisha fulani nilikuwa naamini wasio na pesa ni wazembe, nikapigika sana, nilifanya kazi kwa bidii sana lakini nilikuwa sitoki, Mungu akaona anionyeshe kwamba yeye ndiye mpaji hata kama tunajibidiisha, nilipopata somo Mungu akafungua njia, nikapata pesa bila kutoa jasho jingi kama nilivyotegemea kwasababu MKono wa Mungu ulinitangulia. Mwombe Mungu aende pamoja nawe, mpe Mungu kilicho cha Mungu, hasa fungu la kumi na malimbuko. utakuja kutoa ushuhuda hapa. ingekuwa uongo ningewaambia, imetokea kwangu kabisa.
 
Tafuta hela bana . Kama kuiba iba . Fanya ufanyalo tafuta hela . Fungua kibiashara fanya kila namna kuongeza kipato. Acha kulia lia
 
One of the most reckless statement ever...
Kauli ya kizembe sana..

Mtu anafanya kaz serikalin au kwa Kampuni binafsi unamwambia tafuta hela?
Unataka aibe au?

Na hii kauli ya reja reja sio ya bahati mbaya, ni ya machekbobu wanaotamba kwenye mitandao na scraps za dola 10-15k.

Hii kauli inakuwa ya kizembe zaid inavyotolewa na viongozi.

Asili ya neno hili ni tafsiri sisisi ya neno la kimombo " make money" kutoka kwa ma hustlers wa kimarekani wanaofanya biashara za drugs, raps nk... biashara zenye uharam flani hivi.... ndio mambo ya make money yameanzia...

Unamwambiaje Daktari au Mfamasia au Nurse, Mwanajeshi, Zimamoto, Mwalimu Polisi a make money? Unataka waue watu Au wafanye side huslte ambazo zitaondoa ufanisi wao wakaz.

Vijana wanatakiwa wahimizwe kufanya kaz kwa bidii, sio kutafuta pesa.

Hata kwenye biashara halali, no one is doing it only for money.

Na pesa kwenye biashara sio hadithi za siku au mwaka mmoja.. ni effort ya miaka nenda rudi.

Kusema kweli hii kauli ni mbovu na ya kizembe iliyojaa majivuno sana...

Uki comment Tafuta hela nakuweka kwenye " ignore" list😂
Mkuu tafuta pesa acha maneno
20230922_130530.jpg
 
Tafuta hela bana . Kama kuiba iba . Fanya ufanyalo tafuta hela . Fungua kibiashara fanya kila namna kuongeza kipato. Acha kulia lia
Mashauri amangana

Biashara Hazilett pesa zinaleta madeni na mali😀

Uibe kabisa tata?😀
 
Kabisa mkuu.

Sasa mtu ni Researcher au Prof. Au mtaalam wa Pathology unamwambia tafuta hela... anazitafuta wapi?

Kauli iliyokosa maadili na ku degrade nguvu ya shughuli nyingine za kijamii.
Pathologist wa cases za forensic ukimwambia atafute pesa ni kwamba awe anapokea rushwa ya kupindisha ukweli wa matukio ya case kama vifo na mengineyo ambayo yakiwa yanakuhusu wewe uliyesema tafuta hela itakuumiza. Wakifuata haki wasidhulumu nafsi ya mtu kuna wapuuzi wachache wanamuambia atafute hela...Shabash🤣
 
Back
Top Bottom