Hakuna kiongozi au binadamu aliyekamilika, leo imedhihirika JPM alikuwa anakubalika kwa wanyonge na sio kwa mafisadi na matapeli ya kisiasa

Unapoteza mb na muda wako kupost ujinga. Kila mtu anahoji itakuwaje maana JPM ameondoka. Tumia akili hatanya kuazima
Wahitimu wa vyuo hawapo na wewe, wamepata tumaini jipya huenda kutokuwepo kwake wao watapata ajira,hapo unasemaje?
 
Hao machinga waanze kutimuliwa barabarani hata leo kabla hata hatujapeleka msiba Dodoma.

Huwezi kuwa na watu ambao wanafanya biashara kiholela kwenye Karne hii ya 21.

Mpango wa kuwawekea maeneo yao ndio ambao ulikuwa unafaa. Huu ujinga wa machinga kufanya biashara popote ufike ukomo haraka iwezekenavyo.
 
Kama umeguswa sana, basi mfate marehemu huko alikoenda. Kama huzijui njia za kumfikia, naweza kuziorodhesha hapa kwa uchache.
 
Lakini leo hii tumepata picha kamili, wazalendo, wamachinga, wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa
Tumwpewa hela tukusanyike barabarani halafu tu-act kama tumeguswa sana na kifo. Kimsingi tulikuwa tunafanya FUTUHI
 
Kila kitu kipo sawa kichwani pangu na ndio maana nasisitiza kawadanganye wagogo pengine watadanganyika
 
Jibu unalo wema wake unaoutweigh mapungufu yake.
Mimi sio praise team ndio maana nimeandika mema yake na mabaya yake.
Shida yenu wanaccm wanafiki hamtaki kusikia mabaya ya Magufuli, mi unafiki siwezi mkuu
 
Kama umeguswa sana, basi mfate marehemu huko alikoenda. Kama huzijui njia za kumfikia, naweza kuziorodhesha hapa kwa uchache.
We kauzu kwelikweli! Nabaki kumuenzi na kudeal na makauzu! Hatuwezi tukawaacha mu'enjoy' hata kidogo!

Asante Magufuli kwa kuwajari wanyonge hawaπŸ‘‡

 
Kwenye kampeni (harakati) zake huko Zanzibar, alisema anajua Siri ya Mzee wetu (Raisi wetu awamu ya pili) Mzee Ali Hassan Mwinyi, ni kwa vipi ameishi Umri mrefu, Alisema ni kwa sababu ana wake wawili.

Nilistaajabu nae akitoa ahadi kuoa mke wa pili (tena kutoka Zanzibar) baada ya kumaliza muhula wake.

Alikuwa ni mtu asiye na uvumilivu hasa katika MDOMO/KINYWA chake...
 
Hata jasiri miongoza njia alitandikiwa kanga barabarani je naye alikuwa anakubalika kushinda marehemu jpm? Pamoja nakuwa kitombi lakn walitandka kanga

N hulka yetu binadamu kushkwa na hisia huwez amin idd Amin alipofarik mm nilitokwa na machoz baada ya kuujua ukweli was maisha yake

Magu aliuukaribia udikteka MUNGU ndye anayejua jamaa alivuruga umoja wa kitaifa kwenye kivuli cha UZALENDO

SITASHANGAA SIKU S NYINGI MKIANZA KUMPAMBA MAMA SAMIA CCM N WANAFIKI WATAFUTA TEUZI TU
 
Ukimpenda sana mtu unamfuata huko aliko...
Nyambafu sana nyie #mataga...
Mnatusumbua sumbua hapa wakati mnatumia VPN kama sisi wengine!!
 
Unapoteza mb na muda wako kupost ujinga. Kila mtu anahoji itakuwaje maana JPM ameondoka. Tumia akili hatanya kuazima
Itakuwaje kwan yeye aliumba nchi hii acheni kuwa na mawazo mgando nyie watu hata nyerere alipong'atuka kuna wapuuz Kama nyinyi walihoj itakuwaje nch n ya watanzania kila mtu anahaki ya kuongoza
 

Lesson learnt!😭😭
Even those who criticize him, the truth is within their inner hearts. The grounds he set shall stand!!!
 
Ukimwona mtu msibani analia sana na kuapiza wengine kana kwamba aliyefiwa ni yeye pekee au yeye ndiye mmiliki wa msiba "MWOGOPE!!" Kama sio MCHAWI basi ana MANUFAA NA MSIBA HUO.
R.I.P JPM.
 
Mchana huu nilikuwa mitaa ya Kinondoni, Magomeni na Ilala huko nimekuta watendaji wa mitaa wapo bize kuwafurusha watu kwenda barabarani na uwanja wa uhuru kutengeneza show (kugalagala, kulia, nk).
In fact, kuna watendaji ambao wameshapanga kutoa usafiri bure wa kwenda na kurudi. Na msosi juu!

Mwacheni Magufuli apumzike. Machozi ya sisi wazazi na walezi wa binti yetu Aquilina labda yataanza kukauka sasa. Ebeneza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…