Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Ujinganwa hii kitu, yule umdhaniaye kumbe site. Barmaids na Baadhi ya Dada poa wengi wako vizuri tu kwa sababu wako makini (sio wote though)
Ukiwa kwenye io Hali ni lazima kila baada ya lisaa limoja utasikia kuhusu ukimw au kusoma sijui kwann Tena inaweza pita gar mbele yako plate number imeandikwa vvu [emoji26]
The same
Nliwah pitia situation kama hiyo mwaka uliopita
Yaan hata ualieshe tu unaanza kuogopa
Kifupi unakua huna aman wala raha
Kujua afya ni vyema
Ila ile situation yakusubiri majibu ni zaid ya situation
The same
Nliwah pitia situation kama hiyo mwaka uliopita
Yaan hata ualieshe tu unaanza kuogopa
Kifupi unakua huna aman wala raha
Kujua afya ni vyema
Ila ile situation yakusubiri majibu ni zaid ya situation
Bora kutulia ndugu hizi mambo sio kabisa zinatesaPole sana boy,niliwai kubwa na huo mkasa nilishindwa hata kula kwa tabia zangu za kubadili pisi kila mara kitaa watu wakaanza kusambaza habari kuwa nimewakaa du nakuja kuzisikia nilichoka mwili na roho kibaya zaidi pisi zikaanza kunikwepa na wangine kunichana kwamba tarifa zilizopo kitaa nina chai basi bhana kupima nikawa siwezi nabaki kuulizia zile pisi nilizo zipitia kama zimesha kufa sometimes nilikuwa nazipigia sim na kuwaliza kama wanaumwa hata malaria kama vile doctor anavyo hoji mgonjwa ila siendi direct
Basi bhana siku moja niko zangu ofisini kwangu anakuja dada ananiambia eti Kuna pisi imepimwa na amekutwa POSITIVE kwenye kituo flani na katika mahojiano amenitaja mimi kuwa nipo kwenye list yake huyo Afisa akanishauri nipime ili wanipe msaada sikutaka kabisa alinichanganya zaidi nikajiona sina changu tena duniani
Ila muda ukapita miezi ikakatika nilikuja kupata pisi flani Hivi nikaamua kama vipi niivute iwe ndo wife,kwenye harakati za Ndoa pisi ikasema hatufanyi jambo hadi tupime kwa kuwa muda ulikwenda niliamua kwenda kupima mwenye chocho najikuta mtu safi sina hatia yani NEGATIVE basi tabasamu langu lilikuja na kujiona salama,
Nimeamua kutulia sitaki tena ujinga
Tafuta wenye umri mdogo, wengi wao huwa wanadamu safi/changa hayo majimama yatakuja kukuuaKuna limama lishangazi nalipiga kavu aisee sijui limewaka
Sio poa mimi nilikuwa na google symptoms za miezi 3,6,9 hadi mwaka today niko mwaka wa tatu bado sijiamini, japo nimekoma kuuza mechiKuna kipindi nilipita kavu kimasikhara kwa demu flani hivi
Aisee huwezi amini ulikua 2018 hivi kila nikilog JF nakutana na nyuzi za UKIMWI Kama zote kipindi kile nakumbuka Kuna member walikichafua humu kua kwa nyuzi zao za kutisha tisha dadeq zao
Nilipagawa nilikua kila nikipata vimafua tu stress aisee
Badae nikaja gundua hofu inaua kuliko ugonjwa wenyewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili gonjwa linaogopesha kuliko hata ualisia wake. Nadhani ni gonjwa la kisiasa. Lina tisha kwa kweliHapa ndio inakuja ile dhana ya hofu inaua ila jamani HIV inaogofya tuache utani yaani hamna mtu nilikuwa najiamini kama mimi ila siku naenda kupima sijui ile hofu ilitoka wapi
Inasemekana ni vigumu mtumia dozi kumuambukiza mtu mwingine sijajua sababu japo wapo waliodai kwamba ni matokeo ya zile dawa kuvipunguza nguvu virusiMkuu pole sana,,,ila ni vizuri ukaenda kupima kujuwa afya yako.
Mimi niliwahi kutembea na wanawake wanaoishi na VVU bila kujuwa kwa muda tofauti.
1--Mmoja nilikuta vidonge vya VVU kwenye mkoba wake,
Mara tu baada ya kumaliza tendo.
Nilitumia kinga lakini ilipasuka wakati nakojowa.
2-- huyu wa pili niliuza mechi kwa makusudi ili nifaidi mautamu.
Mtoto wa chuo cha magogoni,,alikuwa mtamu kama usingizi wa alfajiri.
Na sikutembea nae Mara moja.
Nilikuwa nae zaidi ya mwezi kimahusiano,,pika pakua kwangu.
Kukojowa nakojolea ndani.
Baadae kuna msela wangu mmoja akanisanua kwamba huyo demu unayepiga kishaua wawili na hapo anatumia vidonge vya VVU.
Mama !!mama!!mama!!
Aisee nilifadhaika Sana.
Nikapiga chini.
Lakini nilijipa moyo kwamba hapa duniani hakuna mlinzi wa dunia,
Wote tutakufa tu.
Niliendelea kujipa moyo huku naoogopa kupima..
Nikisikia matangazo ya VVU ,,moyo wangu unaumia sana.
Niliendelea Kutumia kinga kwa wanawake wengine kama vile sijapata maambukizi yeyote.
Baada ya kuoa,,
mke wangu alipopata ujauzito ikalazimika tupimwe.
Mm niliogopa kupima nikasingizia nimesafiri.
Mke wangu alipopima majibu yalikuja NEGATIVE.
Nilibahatika kwenda ulaya nikapima ukimwi bado kwangu ni NEGATIVE.
Hapa nilipo nipo Saudia,,
nimepimwa vipimo vyote vya damu na mwili mzima..
tena kwenye hospital kubwa inayoaminika na kampuni.
Tena damu imetolewa mikono miwili kulia na kushoto,
Nimepimwa kifua,,damu tena blood analysis.
Still majibu ni NEGATIVE,,. Sina ugonjwa wowote.
Nipo mzigoni kwenye mawimbi ya bahari naelea.
Watu wengi wanaishi kwa hofu ya kuambukizwa VVU kwa macho.
Baadae kuanza kwenda hovyo na wanawake bila kinga kwa kujuwa wameathirika.
Kumbe huko wanapokwenda ndy wanauvaa ugonjwa ambapo mwanzo walikuwa salama.
Tusikimbilie kujihisi wagonjwa bila kupima ..
Namshukuru Mungu kwa kunilinda...
Inasemekana ni vigumu mtumia dozi kumuambukiza mtu mwingine sijajua sababu japo wapo waliodai kwamba ni matokeo ya zile dawa kuvipunguza nguvu virusi
Ukimwi ni ugonjwa wa uongoMkuu pole sana,,,ila ni vizuri ukaenda kupima kujuwa afya yako.
Mimi niliwahi kutembea na wanawake wanaoishi na VVU bila kujuwa kwa muda tofauti.
1--Mmoja nilikuta vidonge vya VVU kwenye mkoba wake,
Mara tu baada ya kumaliza tendo.
Nilitumia kinga lakini ilipasuka wakati nakojowa.
2-- huyu wa pili niliuza mechi kwa makusudi ili nifaidi mautamu.
Mtoto wa chuo cha magogoni,,alikuwa mtamu kama usingizi wa alfajiri.
Na sikutembea nae Mara moja.
Nilikuwa nae zaidi ya mwezi kimahusiano,,pika pakua kwangu.
Kukojowa nakojolea ndani.
Baadae kuna msela wangu mmoja akanisanua kwamba huyo demu unayepiga kishaua wawili na hapo anatumia vidonge vya VVU.
Mama !!mama!!mama!!
Aisee nilifadhaika Sana.
Nikapiga chini.
Lakini nilijipa moyo kwamba hapa duniani hakuna mlinzi wa dunia,
Wote tutakufa tu.
Niliendelea kujipa moyo huku naoogopa kupima..
Nikisikia matangazo ya VVU ,,moyo wangu unaumia sana.
Niliendelea Kutumia kinga kwa wanawake wengine kama vile sijapata maambukizi yeyote.
Baada ya kuoa,,
mke wangu alipopata ujauzito ikalazimika tupimwe.
Mm niliogopa kupima nikasingizia nimesafiri.
Mke wangu alipopima majibu yalikuja NEGATIVE.
Nilibahatika kwenda ulaya nikapima ukimwi bado kwangu ni NEGATIVE.
Hapa nilipo nipo Saudia,,
nimepimwa vipimo vyote vya damu na mwili mzima..
tena kwenye hospital kubwa inayoaminika na kampuni.
Tena damu imetolewa mikono miwili kulia na kushoto,
Nimepimwa kifua,,damu tena blood analysis.
Still majibu ni NEGATIVE,,. Sina ugonjwa wowote.
Nipo mzigoni kwenye mawimbi ya bahari naelea.
Watu wengi wanaishi kwa hofu ya kuambukizwa VVU kwa macho.
Baadae kuanza kwenda hovyo na wanawake bila kinga kwa kujuwa wameathirika.
Kumbe huko wanapokwenda ndy wanauvaa ugonjwa ambapo mwanzo walikuwa salama.
Tusikimbilie kujihisi wagonjwa bila kupima ..
Namshukuru Mungu kwa kunilinda...
Daa nimecheka eti mungu nisaidie siuzi mechi tena. Jitoe muhanga ukapimeWadau wapi wanauza vifaa Vya kupima?...mara ya mwisho ilikua ni mwaka jana mwezi wa 11....nilipitia scenario mbali mbali mpaka kupima nilishanunua malaya baada ya mda condom ilipasuka but nikasanuka chaap....tokea mwezi wa 11 mpaka sasa nimecheza rough moja inaniogopesha kweli nilipiga kavu then nikaja kusikia story yake msururu wa masela waliomgusa duuuuuh...majuzi hapa amekuja gheto nikamkomalia apime aniletee majibu kaenda huko kaja na kile ki test yupo negative....nahisi kama amenidanganya but nacheza na akili yake huwa namshtua twende tukapime then anasema twende hata now. .....Mungu aniepushe aisee siuzi mechi tena daaaah
Shukuru kiba100 chako kilielea, ungekoma[emoji848]Mkuu pole sana,,,ila ni vizuri ukaenda kupima kujuwa afya yako.
Mimi niliwahi kutembea na wanawake wanaoishi na VVU bila kujuwa kwa muda tofauti.
1--Mmoja nilikuta vidonge vya VVU kwenye mkoba wake,
Mara tu baada ya kumaliza tendo.
Nilitumia kinga lakini ilipasuka wakati nakojowa.
2-- huyu wa pili niliuza mechi kwa makusudi ili nifaidi mautamu.
Mtoto wa chuo cha magogoni,,alikuwa mtamu kama usingizi wa alfajiri.
Na sikutembea nae Mara moja.
Nilikuwa nae zaidi ya mwezi kimahusiano,,pika pakua kwangu.
Kukojowa nakojolea ndani.
Baadae kuna msela wangu mmoja akanisanua kwamba huyo demu unayepiga kishaua wawili na hapo anatumia vidonge vya VVU.
Mama !!mama!!mama!!
Aisee nilifadhaika Sana.
Nikapiga chini.
Lakini nilijipa moyo kwamba hapa duniani hakuna mlinzi wa dunia,
Wote tutakufa tu.
Niliendelea kujipa moyo huku naoogopa kupima..
Nikisikia matangazo ya VVU ,,moyo wangu unaumia sana.
Niliendelea Kutumia kinga kwa wanawake wengine kama vile sijapata maambukizi yeyote.
Baada ya kuoa,,
mke wangu alipopata ujauzito ikalazimika tupimwe.
Mm niliogopa kupima nikasingizia nimesafiri.
Mke wangu alipopima majibu yalikuja NEGATIVE.
Nilibahatika kwenda ulaya nikapima ukimwi bado kwangu ni NEGATIVE.
Hapa nilipo nipo Saudia,,
nimepimwa vipimo vyote vya damu na mwili mzima..
tena kwenye hospital kubwa inayoaminika na kampuni.
Tena damu imetolewa mikono miwili kulia na kushoto,
Nimepimwa kifua,,damu tena blood analysis.
Still majibu ni NEGATIVE,,. Sina ugonjwa wowote.
Nipo mzigoni kwenye mawimbi ya bahari naelea.
Watu wengi wanaishi kwa hofu ya kuambukizwa VVU kwa macho.
Baadae kuanza kwenda hovyo na wanawake bila kinga kwa kujuwa wameathirika.
Kumbe huko wanapokwenda ndy wanauvaa ugonjwa ambapo mwanzo walikuwa salama.
Tusikimbilie kujihisi wagonjwa bila kupima ..
Namshukuru Mungu kwa kunilinda...
Daa sio poa unaweza kimbia na kaziKuna michongo mingine unaweza pata
Ili uifanye lazima upime ngoma!
Mziki unaanzia hapo sasa
Ova
Mkuu unaweza ukajisahau uakapiga tena maana nyege bhnBora wewe
Mwenzio nmekazana ku pamp kitobo
Nainua macho hivi naona kopo la arv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe alisahau kukificha
Nlipoondoka akajua nmeona akanpotezea mazima
Hatak msg wala calls akijua nmejua
Nkawa namtafuta ili kama kum campan asijue nmejua
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Dah mkuu we acha tuKuna limama lishangazi nalipiga kavu aisee sijui limewaka
Mkuu unajitisha mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadau wapi wanauza vifaa Vya kupima?...mara ya mwisho ilikua ni mwaka jana mwezi wa 11....nilipitia scenario mbali mbali mpaka kupima nilishanunua malaya baada ya mda condom ilipasuka but nikasanuka chaap....tokea mwezi wa 11 mpaka sasa nimecheza rough moja inaniogopesha kweli nilipiga kavu then nikaja kusikia story yake msururu wa masela waliomgusa duuuuuh...majuzi hapa amekuja gheto nikamkomalia apime aniletee majibu kaenda huko kaja na kile ki test yupo negative....nahisi kama amenidanganya but nacheza na akili yake huwa namshtua twende tukapime then anasema twende hata now. .....Mungu aniepushe aisee siuzi mechi tena daaaah