Mimi sio mtu wa kunyonyana kivile, ni mara chache sana...kwa mwezi naweza nsinyonye mate kabisa..hata miez mi3...Ukimwi kwa kijana ni kuomba tu usikutane nao na ukikutana nao uwe ukimwi mpole usiwe active kiivyo. Maana unaweza tumia ndomu na ukaupata tu
Labda kama sio mtu wa kunyonyana nyonyana, yani wewe kunyonya chuchu iwe ni mwiko na kuhusu ndimi basi uwe na afya la lips la sivyo noma Mkuu
Kwahyo ulimla..enhee.baada ya ....Kuna siku nilipata ugeni wa ghafla wa mwanamke wa Facebook.
Alinishtukiza kuja saa saba usiku.,,tena akiwa amelewa sana.
Duu!! Kila nikiangalia condom sioni,,
Kila nikimuangalia yule mwanamke kwa macho ya kawaida,,
Naona kabisa virus vinaelea mwilini mwake..
Na alivyokuwa mchokozi,,kufika tu kavua nguo zote kajitupa kitandani ,,uchi wa mbuzi..
Nilipata mtihani sana mkuu,,
Condom sina,,,mwanamke namtaka nimle. ,,usingizi hauji.
Naogopa kumla kavu nahofia virus.,
Mwishowe nikafanya maamuzi ya kibaharia..
Nilimuweka mkao wa kifo cha mende ,Kwahyo ulimla..enhee.baada ya ....
Ngoja madaktari waje watusaidieNi sawa na sisi tunapojihisi ulipiga kavu siku ya hatari yani unahisi una mimba. Waalah unapata dalili zote za ujauzito na mate yanajaaa mdomoni mpk unahisi na tumbo linajaa kwa wiki moja tuu. Hii hali inaitwaje aisee
Wanawake wanaogopa mimba kuliko ukimwiKatika michango yote hapo umegundua kuwa wanawake wengi hawana maamuzi juu ya kuvaa condom au kutokuvaa?na hata ikitokea imepasuka wao huwa hawa panic kama wanaume!kifupi acha zinaa...
Mkuu wacha hiyo michezo utamtiaJuzi kat kaniita nkamsaidie issue moja hiv kwake
Nmefika kakaa uch[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna limama lishangazi nalipiga kavu aisee sijui limewaka
Uzi mkongwe sana lakini bado una mafundisho mabichi kabisa. Tuchukue tahadhari. Kwa upande wangu, Mungu alinilinda sana. Mwaka 2019-2022, nilipiga zaidi ya mademu 70, kavu kavu na influence kubwa ya ulevi tena mitaa ya hatari kabisa, Kawe, Sinza, Temeke na Tabata. Lakini mpaka naokoka mwaka 2022 mwishoni, nilinusurika. Kwa kweli tuchukue tahadhari sana.Najua sii mimi pekee ambaye nimeshakutana na hii hali ni wengi imewakuta sema tu unakuta tunaugulia kimya kimya.
Mwaka wa tatu huu nimekuwa nikiishi kama digidigi yaani hata nikipata malaria kidogo naanza kufikiria michezo michafu niliokuwa naicheza huko nyuma, nasema au ndio dalili za HIV zimesha anza kujitokeza.
Unajua kuna watu huwa wanajiona exemptional kwenye mambo fulani fulani, ikiwemo na kupata HIV, yaani mtu anaamini HIV ipo kwaajili ya watu wengine,,so hata akifanya michezo hatarishi hawezi kubali kwenda kupima kwa kuhofia
majibu atakayo pata.
Wengi wa kundi hilo unakuta ni vijana miaka 18-30 ,unakuta wanakuwa na ugumu wa kupokea matokeo maana katika umri huo unakuta wanacho cha kupoteza. Wengi unakuta hawajaoa/kuolewa, wengine wako chuo, wengine bado wako kwa wazazi wao.
Unakuta mtu hospital hawezi kwenda sababu ya hofu, unakuta amejichimbia youtube au google kusoma symptoms za HIV siku akipata kuugua kidogo hofu inazidi kuongezeka.
Hapa naandika simple tu lakini hii hali ikikupata utaishi kwa shida sana, vijana walioko hatarini ni wale wapenda bata, night club, chuo maana wanakutana na watu wa aina tofauti tofauti.
Kuna matukio ambayo nilikuwa nayafanya kimazoea ambayo mpaka kesho najuta...Kuna siku nilitoka na manzi club mida ya saa 9 usiku tukapitia guest nikamtuma muhudu cndom akasema zimeisha uvumilivu ukanishinda nikapiga kavu.
Kuna ile uko bize unapump punde unahisi condom imepasuka na ikipasuka maana utamu unakolea unaendelea kukata miuno hii ni hatari sana.
Pia kuna ile mtu amekunywa pombe kali kama konyagi halafu kwenye gemu anavaa condom anapump wee wazungu hawaji anaamua kuvua au kupasua kwa makusudi amalize mapema alale hii nayo ni hatari.
Pia kuna wale pisi kali yaani ukimtathiminisha unasema bora nifee hii napiga kavu. Utakuja kulia na kusaga meno...
Hitimisho kama unaona huna kifua cha kupokea hilo janga play safe ndugu usije ishi kama nungu nungu kwa hofu na mashaka.