Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa. Itakuwa huo huo. Lol.Weusi wa aje unawazungumzia? Kama kaniki???
Mfano wa picha bossNadhani hauko sahihi mummy!! Tunazungumzia black beauty
Hahahaaaaa. Na wewe rafiki unahusudu wanawake weusi?Hakika nao ni viumbe wanaoelekea kutoweka duniani kama Godzilla
pPlalp
Hahahaaaaa. Na wewe rafiki unahusudu wanawake weusi?
OHahahaaaaa. Na wewe rafiki unahusudu wanawake weusi?
Hahahaaaaa. Na wewe rafiki unahusudu wanawake weusi?
Hahah!! Sina uhakika sana kama nawahusudu ila wamepotea mpaka nawamiss sasa, weusi siku hz umebaki makalioni tu [emoji85]Hahahaaaaa. Na wewe rafiki unahusudu wanawake weusi?
Hao nao wakija mjini wanabadilika rangi wanakuwa weupe. Mimi huwa namuambia mwanamke kabisa ukijibuchuwa tutaachana.Wapo kibao. Njoo Geita. Mwanza. Bunda. Tarime
Sio hautamani sema hauwezi kuja kuupata......jikubali mamaMbona me mweusi. Na weupe siutamani hata chembe na weusi najivunia, im african beautiful
Nimecheka mkuu ebu tuache na weusi wetuSio hautamani sema hauwezi kuja kuupata......jikubali mama
Hahahaa. Duuh.Hahah!! Sina uhakika sana kama nawahusudu ila wamepotea mpaka nawamiss sasa, weusi siku hz umebaki makalioni tu [emoji85]
Sasa wewe unakwenda tafuta wanawake weusi bar?Wakuu walah hakuna mwanamke mweusi tena
nimeipenda hii, wanasema usoni yuko ulaya lakini bado miguu iko AfrikaBongo bwana, unakuta mdada ni mweupe usoni ukishuka kwenye miguu ni mweusi unajiuliza huyu ni chotara nn , jibu linabaki kuwa ni chotara