Hakuna kitu kigumu kwenye kuoa kama kupata mke mweusi kwenye zama hizi

Hakuna kitu kigumu kwenye kuoa kama kupata mke mweusi kwenye zama hizi

25-Short-Cuts-for-Black-Women_4.jpg
7th+Annual+ESSENCE+Black+Women+Hollywood+Luncheon+J4vMFOn5uwLx.jpg
 
Kama unatumia mkorogo naomba tukae mbalimbali kama kaskazini na kusini


Hamna kitu nisichopenda kama mtu kujikoboa
 
White people have lack in melanin whereas black tuna melanin mingi
 
Weusi mpelekee g nako.

Si tunataka chura mkubwaaa na mweupe mapajani awe na michirizi.... [emoji23] [emoji1] [emoji119] [emoji119]
 
Wanawake weusi raha sana nawapenda kiukweli siku nikitoa posa itakuwa kwa hivi viumbe vyenye rangi adimu mzungu aliyoishindwa kama we mweusi tembea kifua mbele ujue unapendwa
 
Back
Top Bottom