Hahahha!!!Hahahaa. Duuh.
Heshima kwako rafiki.
sijaelewa swali lako.Ni wa wapi huyu mamake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona hujafika huku niliko mimi
Mleta uzi naona mahali alipo kuna wazungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka picha...Mbona me mweusi. Na weupe siutamani hata chembe na weusi najivunia, im african beautiful
Sasa atakuwa wapi huko kwa trump kwenyewe weusi wapoMleta uzi naona mahali alipo kuna wazungu