Hakuna kitu kinaitwa uungwana au huruma katika kuongoza Taifa

Babu Hakuna hata Aya Wala line spacing

Rekebisha kidg nitasoma sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna serikali ambayo haiui, ukienda kinyume na serikali yoyote ile lazima udhibitiwe.

Freedom has it's limits kama hamjui.
Kama Serikali kazi yake ni kuua watu itaongoza wanyama na miti?
 
Damu ya Ben Saanane itakutesa sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Uandishi wa "Kihutu Hutu".
Kadri siku zinavyosonga mbele,naona kuna kujiweka wazi kwa ID nyingi humu JF kuwa wao ni "wa kule kule".
 
Sasa hivi ili kufurahisha ma godfather ni mwendo wa miradi ya 10% tu! Unaangalia mradi unaona umekaa kiupigaji tu.

Tuendelee kudeal na mwendazake kwanza [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Mfaulme Sulemani alioa wake wangapi?
 
HEKIMA sio!!!!
 
Hatari sn
 
Haya ndio mawazo na uzi wa hovyo sana tangu mwaka huu uanze.
 
Mleta bado ni mojawapo ya watu wajinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…