Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Hakuna kitu kinaninyima raha maishani kama kuzaliwa peke angu kwenye tumbo Moja🥺
Najua ni mipango ya Mungu ila huwa naumia sana.
Natamani ningekuwa na ndugu wa damu hasa wa kike wa kushare nae mambo yangu binafsi kwenye shida na raha kwa sababu Kuna mambo ambayo kabla mtu huja share na mzazi au mwenza wako ni lazima umhusishe ndungu yako, ila ndo hivo ndugu niliyenae ni mmoja na ni wa kiume ni mtoto wa baba.
Huwa nawaza pindi Mungu akiwachukua wazazi nitaishi vipi?
Namuomba sana Mungu anipe uzao I hope wanangu watakuwa ndugu zangu🥺
Naandika haya nikiwa na masikitiko makubwa sababu Kuna jambo linanitatiza hapa ila ndugu wa ku share nae Sina.
Dah!
Najua ni mipango ya Mungu ila huwa naumia sana.
Natamani ningekuwa na ndugu wa damu hasa wa kike wa kushare nae mambo yangu binafsi kwenye shida na raha kwa sababu Kuna mambo ambayo kabla mtu huja share na mzazi au mwenza wako ni lazima umhusishe ndungu yako, ila ndo hivo ndugu niliyenae ni mmoja na ni wa kiume ni mtoto wa baba.
Huwa nawaza pindi Mungu akiwachukua wazazi nitaishi vipi?
Namuomba sana Mungu anipe uzao I hope wanangu watakuwa ndugu zangu🥺
Naandika haya nikiwa na masikitiko makubwa sababu Kuna jambo linanitatiza hapa ila ndugu wa ku share nae Sina.
Dah!