Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vyemaKuzaliwa na ndugu sio ishu hiyo. Mimi nina ndugu wengi na hata hatuna ushirikiana yaan kila mtu na mambo yake. Muombe Mungu akupe watu sahihi katika maisha yako. Ndugu unawezakuwa nao na hawana faida yeyote
aaah mi nmemletea mjukuu akae nae sasaNdo inavokuwa yani mm siku mbili nisipokatiza kwa wazee naulizwa mara mbili mbili
Sio kuchunguliana tu wanajambianaMwambie mume wako kinachokutatiza!
Nini maana ya kulala kitanda kimoja mnachunguliana
AmenInshallah I hope na mm one day yes
ukaona hili ndo swali linamfaa sasa🤣Sio kuchunguliana tu wanajambiana
pia ..hv /USER] mkijamP*#ana na mme wako au mmoja akijam pa mwingine anatoa pua nje au ndio mwili mmoja kijampo cha mwenzio hakinuki @Nyamwila255
Hahaaa sasa mada zake si ndio za hvhvukaona hili ndo swali linamfaa sasa🤣
Hah we nae niache Sina mood ya kuchekaSio kuchunguliana tu wanajambiana
pia ..hv mkijamP*#ana na mme wako au mmoja akijam pa mwingine anatoa pua nje au ndio mwili mmoja kijampo cha mwenzio hakinuki Nyamwila255[/USER]
Wachache sana bn! Mi ntakaemuoa ajiandae kuprint 5++ Kuna Raha ya kua na watotoWengi sanaa wawili! Ndio maana napenda kuolewa na single faza nimkute na watoto tayari ili asiniambie habari za kuzaa watoto 6
Kaacha saiv anaogopa ban,kama id zake zingneHahaaa sasa mada zake si ndio za hvhv
Wachache sana bn! Mi ntakaemuoa ajiandae kuprint 5++ Kuna Raha ya kua na watoto
WanatoshaWachache sana bn! Mi ntakaemuoa ajiandae kuprint 5++ Kuna Raha ya kua na watoto
Ngoja Hela ikubali wakati huo mayai nehiWanatosha
Bora wewe una wazazi wapo hai, Wengine tumezaliwa peke yetu na wazazi wameshaondoka duniani