Hakuna kitu kinanyima raha kama kuzaliwa peke yako

Hakuna kitu kinanyima raha kama kuzaliwa peke yako

Hakuna kitu kinaninyima Raha maishani kama kuzaliwa peke angu kwenye tumbo Moja🥺
Najua ni mipango ya mungu ila huwa naumia sana
Natamani ningekuwa na ndugu wa Damu hasa wa kike Wa kushare nae mambo yangu binafsi kwenye shida na raha kwa sababu Kuna mambo ambayo kabla mtu huja-share na mzazi au mwenza wako ni lazima umhusishe ndungu yaki., ila ndo hivo ndugu niliyenae ni mmoja na ni wa kiume (ni mtoto wa baba.
Huwa nawaza pindi mungu akiwachukua wazazi nitaishi vipi?
Namuomba sana mungu ANIPE uzao I hope wanangu watakuwa ndugu zangu🥺
Naandika haya nikiwa na masikitiko makubwa coz Kuna jambo linanitatiza hapa ila ndugu wa ku share nae Sina.
Dah!
Usiwalaumu sana
Unajua walipitia changamoto gani?
Nilidhani yatima kumbe sio

Ushakua anza kuzaa zaa kwa wingi
 
Mimi nilizaliwa pekee.

Mama yangu aliniacha nikiwa na umri wa miaka miwili pekee.

Ujio wa mdogo wangu ndio ulopelekea kifo chake na nikawakosa wote.(kupitia simulizi baada ya kuwa mtu mzima)


Endelea kupumzika Mama angu MARY.
 
Dah
Mimi nilizaliwa pekee.

Mama yangu aliniacha nikiwa na umri wa miaka miwili pekee.

Ujio wa mdogo wangu ndio ulopelekea kifo chake na nikawakosa wote.(kupitia simulizi baada ya kuwa mtu mzima)


Endelea kupumzika Mama angu MARY.
 
Mimi nina ndugu ni hovyo kabisa,hana msaada.Bora ningekuwa peke yangu
 
Wa mwisho! Tumezaliwa wawili mimi na dada yangu
Ok, ila hiyo idadi kwa wazazi ambao hawana changamoto yeyote hasa kiafya, sikubaliani nayo.

Idadi nzuri ya watoto ni kuanzia watano
 
Hakuna kitu kinaninyima Raha maishani kama kuzaliwa peke angu kwenye tumbo Moja🥺
Najua ni mipango ya mungu ila huwa naumia sana
Natamani ningekuwa na ndugu wa Damu hasa wa kike Wa kushare nae mambo yangu binafsi kwenye shida na raha kwa sababu Kuna mambo ambayo kabla mtu huja-share na mzazi au mwenza wako ni lazima umhusishe ndungu yaki., ila ndo hivo ndugu niliyenae ni mmoja na ni wa kiume (ni mtoto wa baba.
Huwa nawaza pindi mungu akiwachukua wazazi nitaishi vipi?
Namuomba sana mungu ANIPE uzao I hope wanangu watakuwa ndugu zangu🥺
Naandika haya nikiwa na masikitiko makubwa coz Kuna jambo linanitatiza hapa ila ndugu wa ku share nae Sina.
Dah!
Kumbe sipo peke yangu. Nimepata faraja sana
 
Back
Top Bottom