Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

Wivu ni kidonda mkuu!! Ishi maisha yako, km una damu km yetu we vunga tu, kupendwa utapendwa hata na mama nyumbani inatosha!! Usifosi damu ya waarabu wa kipemba upate kujulikana kwa kilemba hali una damu ya kunguni..

Ni hayo tuu mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi najua sana tu.
 
yamekkta mkuu
 
yaan boy mzma anakua na id ya kike akitongozwa nae anafurahi
 
Tiririka tyu ikibidi na kumiminika umiminike.kidogo kidogo tyu watakuelewa
 
Uko sahihhi majuzi nliona mtu humu anajichatisha eti anaiambia id nyingine nakupenda sana,wewe ni mwanamke una akili na jasiri,ikabidi niicheck posts za ile id mpya mwe mwe nikagundua ni mwenyewe halafu huyo mtu mwenyewe ni kilaza kichwa box nlicheka sana
 
ulijuaje ndiyo yeye mkuu?
 
Ngoja nikisie
Nyingine wanafungua uzi na id nyingine feki kujifanya imemzimia.
(kujifanyia promotion)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…