Kuna maeneo ya makazi tuliyowahi kukulia yaliyokuwa yanawaweka watu pamoja huwa yanaanza kupoteza asili yake kwa kugeuzwa kuwa maeneo ya biashara,
unakuta majirani karibu wote uliowahi kuwajua wamehama wameuza plot, mtaa umejaa fremu, magorofa, bar, lodge, gereji, magodauni, n.k.
Nawaonea huruma wasio na vijiji vya kurudi, yani wao wamekulia mjini inakuwa ngumu kurudi hayo maeneo
unakuta majirani karibu wote uliowahi kuwajua wamehama wameuza plot, mtaa umejaa fremu, magorofa, bar, lodge, gereji, magodauni, n.k.
- Nyumba za Majirani mliowahi kufahamiana hawapo tena
- sehemu zilizoacha alama kwenye maisha yako hazipo tena
- viwanja mlivyokutana na marafiki yamejengwa maduka, n.k.
Nawaonea huruma wasio na vijiji vya kurudi, yani wao wamekulia mjini inakuwa ngumu kurudi hayo maeneo