Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
H
Kama nchi.hatuna plan..kutenganisha.makazi.na biashara hiyo ndiyo sababu
Hii nchi si ya wakulima tena bali ni ya wafanyabishara,kila mtanzania kwasasa anamiliki walau fremu ya biashara moja!kitu ambacho ni kizuri
Kibaya ni pale bidhaa zinazouzwa karibia zote hutoka nje ya nchi,HII NI HATARI SANA KWA KILIMO NA VIWANDA VYETU