Hakuna kitu rahisi kama kumtongoza demu mbaya

Hakuna kitu rahisi kama kumtongoza demu mbaya

Huwa wanasema hujafa hujaumbika. Wacheke tu mpaka siku ajali ifanye huo mdomo wa kuchekea ukose fizi ukiwa unacheka sauti iwe kama trekta lisilo na oil ndo utaelewa kuwa hawakujiumba.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa unafikiria nini?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
itakuwa wanaongelea mwanamke wa sifa hizi[emoji116]
[emoji117]anataka mwanamke 8figure,
[emoji117]macho ya mdoli
[emoji117]lips denda
[emoji117]kiuno nyigu
[emoji117]makalio ya kajala
[emoji117]mguu wa bia(zari th bosi)
[emoji117]saut ya kumtoa chatu pangoni( wema sepenga)
[emoji117]kabeby face( lulu maiko)
[emoji117]chuchu sa5;59 approximately= saa6:00
[emoji117]mwenye mwanya, dimpoz,& kidoti
[emoji117]rangi ya mtume( chocolate colour, black beauty)
[emoji117]bikra[emoji28][emoji28][emoji28]( hapa japo sio sana)

mwisho wa yote awe hapendi hela na yuko single[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23].......
Hapendi hela[emoji3064]
Yupo cngo[emoji115]
 
Mbona uzi huu unaonesha kama unahasira za kukataliwa na huyo demu
Grow up my dear maneno kama haya yanasemagwa na wanaume wasojiamini,wenye msongo wa mawazo,na wenye matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume akishatongoza mwanamke akamkataa ndo uanza kusema ni mbaya lengo ni kumdhoofisha mwanamke aone kama huyo jamaa anamfanyia hisani kumtongoza
Manipulator!
 
Mbona uzi huu unaonesha kama unahasira za kukataliwa na huyo demu
Grow up my dear maneno kama haya yanasemagwa na wanaume wasojiamini,wenye msongo wa mawazo,na wenye matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume akishatongoza mwanamke akamkataa ndo uanza kusema ni mbaya lengo ni kumdhoofisha mwanamke aone kama huyo jamaa anamfanyia hisani kumtongoza
Ni wewe pichani? Kama ndiyo kwa nini umevua viatu? Kama hapana weka picha yako.

Nalog out
 
Huwa na piga dudu hao aiseeee yani we acha kbs huwa si hangaiki korodani likijaa nasaka kabaya kabaya kanakojua kuoga nikiimbisha asubuhi saa 6 mchana tu mbususu nimesha isukutua
 
Hakunaga mwanmke mbaya coz wewe unaye muona mbaya kuna mwenzie amekufa ameoza kwa jinsi alivo,
By the way kwani hakuna wanaume wabaya
 
Hasa akianza kukataa yaani unajikuta automatic unacheka. Sasa unawaza huyu mimi nataka nimsaidie ila ndo ivo. All in all kazi ya mungu haina makosa
 
Hakuna kitu rahisi kama kutongoza mwanamke mrembo na mwenye mvuto, wanawake ambao hawana mvuto huwa wamezungukwa na wanaume wanaojiamini sana kwa sababu huwachukulia kawaida.

Wanawake pisi kali wamezungukwa na wanaume ambao hawajiamini na waoga, mimi najiamini sana pale nikiona pisi, kwa sababu najua kabisa ushindani ni mdogo.

Wewe ndo upo sahihi sasa.

Mwanamke mrembo ni rahisi kumpata kuliko wa kawaida na unavyomtongoza unakuwa na sababu za msingi kumtongoza na hata akikukataa huwezi kuja jamii foram ukaanza kuandika uzi km wa mtoa mada.

Mi nikikataliwa na mwanamke mrembo nafurahi tu maana mtongozo wangu umeenda sehemu sahihi.
 
Akikutaa halafu haiumii

Ila kuwa makini hao kukuharibia mbegu hawachelewi dakika tu mimba hyo
IMG_20211002_070854.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huwa wanasema hujafa hujaumbika. Wacheke tu mpaka siku ajali ifanye huo mdomo wa kuchekea ukose fizi ukiwa unacheka sauti iwe kama trekta lisilo na oil ndo utaelewa kuwa hawakujiumba.
Hahahhaaaaa😂😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom