Hakuna kitu rahisi kama kumtongoza demu mbaya

Huwa wanasema hujafa hujaumbika. Wacheke tu mpaka siku ajali ifanye huo mdomo wa kuchekea ukose fizi ukiwa unacheka sauti iwe kama trekta lisilo na oil ndo utaelewa kuwa hawakujiumba.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa unafikiria nini?
 
Reactions: Tsh
Hapendi hela[emoji3064]
Yupo cngo[emoji115]
 
Manipulator!
 
Ni wewe pichani? Kama ndiyo kwa nini umevua viatu? Kama hapana weka picha yako.

Nalog out
 
Huwa na piga dudu hao aiseeee yani we acha kbs huwa si hangaiki korodani likijaa nasaka kabaya kabaya kanakojua kuoga nikiimbisha asubuhi saa 6 mchana tu mbususu nimesha isukutua
 
Hakunaga mwanmke mbaya coz wewe unaye muona mbaya kuna mwenzie amekufa ameoza kwa jinsi alivo,
By the way kwani hakuna wanaume wabaya
 
Hasa akianza kukataa yaani unajikuta automatic unacheka. Sasa unawaza huyu mimi nataka nimsaidie ila ndo ivo. All in all kazi ya mungu haina makosa
 

Wewe ndo upo sahihi sasa.

Mwanamke mrembo ni rahisi kumpata kuliko wa kawaida na unavyomtongoza unakuwa na sababu za msingi kumtongoza na hata akikukataa huwezi kuja jamii foram ukaanza kuandika uzi km wa mtoa mada.

Mi nikikataliwa na mwanamke mrembo nafurahi tu maana mtongozo wangu umeenda sehemu sahihi.
 
Huwa wanasema hujafa hujaumbika. Wacheke tu mpaka siku ajali ifanye huo mdomo wa kuchekea ukose fizi ukiwa unacheka sauti iwe kama trekta lisilo na oil ndo utaelewa kuwa hawakujiumba.
Hahahhaaaaa😂😂😂😂
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…