Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
- Thread starter
-
- #141
na hao wa hivi nashia kuwaona kwenye movie za nigeria[emoji4] [emoji4]Anamtesa tu mkaka wa watu!!!
Ila ukipata mkaka mlokole haswa... wala huna haja ya kumwambia hivyo... Hakugusi ata kukubusu aisee, busu la kwanza linakua kwenye madhabahu baada ya mchungaji kusema you may kiss the bride [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
.hahaha pole sana mkuu mimi nayajua haya mambo aisee ndomana nasema huwa yanawacost bila wao kujuaUmeleta uzi fulani sensitive mkuu, me ni muhanga wa relation ya namna hiyo mwanzoni nilikuwa okay kuendana nayo coz niliamini akishazama 18 zng hatoki, kinachoniumiza nimepoteza miezi 6 now kila akiingia 18 anatoka kwa sbb huwa najikuta namuonea huruma hususani anavyojiliza kwamba hajawahi kufanya.
Kutokana na hali hiyo nmejikuta nahamisha kambi kimya kimya huku nikiwa namvizia aingie 18 nimpe option ngumu. Jibu atakalochagua ndo litakalodetermine future ya hii relation ambayo inaendaenda tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]na hao wa hivi nashia kuwaona kwenye movie za nigeria[emoji4] [emoji4]
mie akikataa huwa namwacha siwezi kuowa mwanamke kwa sababu ya bikra alafu isipokuwepo wengi ni matapeli aiseee watu walishachovya sanaHahahaha huo ni useng* asee, maana mimi mwanamke akinambia yeye Bikra lazma nimle kama nidhamuahidi nitamuoa sasa anakuwa na wasiwasi gani akikataa ina maana haniamini na namuacha hapohapo
Sitaki ujinga mm
[emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakiachika hawatakua mabikra tenaabasi hata wakiachika huko waisite kunitafuta[emoji4] [emoji4] [emoji4]