‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

kama kweli bikra sina shida ila kuja kuamini hii ni yenyewe na hii ni feki aisee kwa hawa wamjini mungu anisamehe bora mtafute gumegume lilowashinda mitume nije niowe sio kwa kutiana magonjwa ya moyo kama hayo
Wapo wadada wasomi,wanajiheshimu na kujitunza...Sema tu wanaume hamtulizi mabichwa yenu mnapotafuta wenza.

Eti upate gume gume lililowashinda mitume[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Bikra original zipo tena za wadada wasomi.
 
Ngoja nikwambie kitu,huwa mnashindwa kuelewa jambo moja ,kila mtu anatafuta mahala apumzishe roho yake na mwili,haiwezekani roho ikawa mbagara mwili unalala bunju,haya mambo ni kudanganya ,binafsi huwezi niuzia sex kwa ndoa yaan eti huwezi kulala na mimi mpaka uniowe ,mimi ukiniambia hivi huwa nakuacha ,maana najua utanisumbua siku ntapokuja kukuowa ukanipa mzigo nikakuta mashine yenyewe labda mbovu au ina likeji ntaaumia sana maana ntakuwa nimepoteza muda wangu alafu kwa matarajio makubwa nakuja pata kitu sio,bora nikuowe nikijua kasoro zako na kama ntaamua kuzibeba basi iwe kwa hiyari lakini kwa kuaminishwa au mwa masharti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapo wadada wasomi,wanajiheshimu na kujitunza...Sema tu wanaume hamtulizi mabichwa yenu mnapotafuta wenza.

Eti upate gume gume lililowashinda mitume[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Bikra original zipo tena za wadada wasomi.
Subutuuuuuu...![emoji2] [emoji2] byongo tusilishane matango poriii hao wasomi wa karne hii au iliyopita aiseeeee[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Ni mada nzuri sana kwa vijana tunaishi kwenye dunia yenye ushindani wa kila aina ukweli ni wanaume wachache sana dunia hii ya leo atakaye kubali hayo mambo 100% wewe ukimyima kuna mwenzio anatoa bure na ni mzuri kuliko wewe....utabaki hapo kulalamika tu. Swali je no sex before marriage inamaana ndoa yenu itadumu? Au kuwa na upendo? Mwanamke akikuambia no sex mpaka ndoa kwa maoni yangu huyo hajakupenda kiukweli. Kama watu walio tangulia kusema unakuta wewe unabaniwa huku kuna jamaa anamega kisela au mtu anakuambia mimi bikra kumbe chenga...mwanaume akigundua umemdanganya anakuacha kimyakimya , unanza kulamika hapa kuwa wanaume ni waongo, kuwa tu mkweli bwana mimi sio bikra ila imani yangu ya dini inanizuia nilitenda dhambi nimetubu sitaki kurudia tena mtu atapima mwenyewe avumilie au akimbie huu ukweli utakuweka huru. Dada zetu acheni kuishi kwenye fantasy. Yaani umenikumbusha kitu mtu demu anakuambia bikra unavumilia siku anakupa dah hakuna kitu hata ule upendo unafutika ananza kusema oooh nimefanya once sijui twice. Ila Tanzania watu watasema no sex before marriage ila hudhuria harusi sasa utachoka 90% ni bibi harusi mjamzito au ana mtoto mchanga.
 
Sasa ndugu yangu unakaa na vitu vizuri kuvitumia huwezi kwanini usitupe wenye matumizi yetu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hehehe
Ushasema huko juu kwamba bikra huwataki..
Watu hawataki kunajisiwa miili yao,wanajitunza kwa ajili ya waume zao
 
Si muowe tu Kama kweli una mpenda au kinacho shindikana ni nini?
 
Hehehe
Ushasema huko juu kwamba bikra huwataki..
Watu hawataki kunajisiwa miili yao,wanajitunza kwa ajili ya waume zao
[emoji4] [emoji4] [emoji4] Waambie walegeze mashart huwenda nikaanza kuwahitaji ,maana hata mpishi wa futari anaruhusiwa kuonja
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] Waambie walegeze mashart huwenda nikaanza kuwahitaji ,maana hata mpishi wa futari anaruhusiwa kuonja
Aiii
Hawataki chovya chovya..
Nyie subirieni magube gube ndo size yao.
Hawa watoto wazuri watasubiri,wanaume wema hawajaisha!
 
Wadada wengine utakuta bikra zote mbili hawana (ya tigo hawana hlf ya papuchi hawana) then linakwambia tusubiri mpaka ndoa mxeeeeww Paprika
Anamtesa tu mkaka wa watu!!!
Ila ukipata mkaka mlokole haswa... wala huna haja ya kumwambia hivyo... Hakugusi ata kukubusu aisee, busu la kwanza linakua kwenye madhabahu baada ya mchungaji kusema you may kiss the bride [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unang'ang'ania hadi ndoa unakuta jamaa hapandi mtungi, kuonjana ndo habari ya mjini kila mtu arizike na mzigo.
Acha kuhamasisha watu wafanye maovu ili hali unajua unaongopa kama nae alikuongopea basi huda budi kumuacha mbaya zaidi kuongopeana inaumiza sana
 
Umeleta uzi fulani sensitive mkuu, me ni muhanga wa relation ya namna hiyo mwanzoni nilikuwa okay kuendana nayo coz niliamini akishazama 18 zng hatoki, kinachoniumiza nimepoteza miezi 6 now kila akiingia 18 anatoka kwa sbb huwa najikuta namuonea huruma hususani anavyojiliza kwamba hajawahi kufanya.
Kutokana na hali hiyo nmejikuta nahamisha kambi kimya kimya huku nikiwa namvizia aingie 18 nimpe option ngumu. Jibu atakalochagua ndo litakalodetermine future ya hii relation ambayo inaendaenda tu.
 
Acha kuhamasisha watu wafanye maovu ili hali unajua unaongopa kama nae alikuongopea basi huda budi kumuacha mbaya zaidi kuongopeana inaumiza sana
Maovu mangapi umeshayafanya hadi sasa hivi au unadhani kuzini tu?
Kama mwanadamu maovu hayakwepeki, na mtu haamasishwi anachagua kufanya ama kutokufanya.
 
hahaha tatizo mkuu waha ni zaidi ya bongo movie ,kwanza hata akikuruhusu kupima oil basi kelele zake utasema kama kuku ananyofolewa manyoya akiwa hai ,Achana kabisa na sanaa za hawa watu
Hahahaha huo ni useng* asee, maana mimi mwanamke akinambia yeye Bikra lazma nimle kama nidhamuahidi nitamuoa sasa anakuwa na wasiwasi gani akikataa ina maana haniamini na namuacha hapohapo






Sitaki ujinga mm
 
Aiii
Hawataki chovya chovya..
Nyie subirieni magube gube ndo size yao.
Hawa watoto wazuri watasubiri,wanaume wema hawajaisha!
basi hata wakiachika huko waisite kunitafuta[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom