Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Legacy pekee ambayo ninaweza kuiacha ni kutengeneza ancestry background! Nimeanza na Mtoto wangu, anafahamu Baba wa Babu yake ni nani, na Mama wa Bibi yake ni nani? Nimetengeneza mchoro kabsa hata siku nikikata moto basi dogo ajue kabsa hiyo kitu itaendelea mbele kwa wajuku zake.
Tangu uhamie dasilamu kutokea kule milimani ndo basi tena.
Unazungumziaje kuweka Alama alafu Alama hiyo ikatumiwa na Watu ndivyo sivyo?
Ila Mbona Yesu, Ibrahim, Yakobo Mitume na Manabii wa miaka zaidi ya 4000 wameacha Legacy mpaka leo?
Legacy ndo utambulisho wako baada ya wewe kufariki.
Morogoro milima ya uruguru😀😀
Mimi sijawahi kuishi Milimani Mkûu.
Nimeishi tambarare ya upareni
Mkuu wewe unafahamu kuwa ni legacy ya mtu?
Sijawahi kuishi Milimani hata Kwa Siku tatu tuuMorogoro milima ya uruguru
hamna, tubadilishe mtazamo tuKwahiyo unatoa ushauri gani mkuu ?
Kila generation ijipambanie ?
That's why I am always telling people " we have to live our lives to the fullest "
Kama legacy unayoacha haijagusa nafsi za watu utasahaulika tu ndani ya miaka michache. Ila kama uligusa kabisa roho za watu hata miaka 10000 ijayo utakumbukwa kwa uliyofanya. Yesu, Mohamed, Nyerere, Abraham Lincoln, Mama Theresa, Mandela.. watakumbukwa daima. Hii legacy ya kujenga Airport kijijini kwenu na stendi ya mabasi isiyotumika haisaidii.
Huo utambulisho ndîo ninasema Mwaka 3000 wengi wetu hautakuwepo
We unasema miaka 3k ijayo wakati wenzako wanakufa na kusahulika siku hiyo hiyo.
So ili uwe immortal creature lazima uache legacy kama BUDDHA , Jesus Mtume Muhammad
Mandela
Nyerere
Hitler
Ni kweli kabsa ila umesahau mzanzibari kuingia makubaliano kwa niaba ya watanganyika ni legacy pia.Kama legacy unayoacha haijagusa nafsi za watu utasahaulika tu ndani ya miaka michache. Ila kama uligusa kabisa roho za watu hata miaka 10000 ijayo utakumbukwa kwa uliyofanya. Yesu, Mohamed, Nyerere, Abraham Lincoln, Mama Theresa, Mandela.. watakumbukwa daima. Hii legacy ya kujenga Airport kijijini kwenu na stendi ya mabasi isiyotumika haisaidii.
Nani ana uthibitisho kuwa ye siyo legacy ya mamilioni ya miaka iliyopita na kuwa legacy anaiacha tu anapokufa?