Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Katia safari ya maendeleo kama binadamu tumefanya mengi ya kustaajabu, kuanzia kuvumbua vifaa vya mawasiliano vya masafa ya mbali mpaka roketi lakini hamna cha msingi tulichofanya zaidi ya maboresho ya sayansi ya matibabu na afya
Wanasema kabla ya mageuzi ya matibabu wastani wa kuishi dunia nzima ilikua ni miaka 30 - 35, ila sasa wastani ni miaka 75
Vifo vya utotoni vimepungua maradufu na magonjwa ambayo yalikua kama hukumu ya kifo miaka ya huko nyuma sasa tunayamudu
Tunasahau Watu walikua wanakufa kwa vidonda na kipindupindu kwasababu walikuwa hawajui hata umuhimu wa kunawa mikono
Wanasema kabla ya mageuzi ya matibabu wastani wa kuishi dunia nzima ilikua ni miaka 30 - 35, ila sasa wastani ni miaka 75
Vifo vya utotoni vimepungua maradufu na magonjwa ambayo yalikua kama hukumu ya kifo miaka ya huko nyuma sasa tunayamudu
Tunasahau Watu walikua wanakufa kwa vidonda na kipindupindu kwasababu walikuwa hawajui hata umuhimu wa kunawa mikono