Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio kauli ya kiume sasa 😍😍Hata kama mwanamke haangalii pesa, ni muhimu mtu kuwa na pesa.
Sasa mkitaka kula mtakula mapenzi?
LabdaNyie mwanamke hapendi pesa anapenda kujaliwa
Usiseme labdaLabda
Kwa hio kweliUsiseme labda
UmefungukaAcheni kuaminishana ujinga!
Hela ni muhimu sana, ila haiwezi kufanya upendwe...sana sana utageuzwa kitega uchumi!
LabdaHoa mnasema wanangalia pesa wakishapata hizo pesa wanaenda kuwahonga wanaume wengine wawapenda kiukweli ukweli...
Kama ingekuwa hivyoo wanaume maskini wangekuwa singleKwa hio kweli
Masikini wa nini?Kama ingekuwa hivyoo wanaume maskini wangekuwa single
Kama hujui basiMasikini wa nini?
Masikini atakupa nini wewe?Kama hujui basi
Nisikilixe vizuri.Masikini atakupa nini wewe?
Huo ndo ukweli mchungu. Kama huna pesa lazima mke wako agongwe nje.
Kwa hio ndio hivyo tu?Nisikilixe vizuri.
Kwa sasa sitaki kuwasikia niliwapenda nilijitolea muda wangu na namapenzi yangu nilimsaidia nilimpa kila anachohitaji akamuoa mzungu yupo nje . Sihitaji hao tena saivi nahitaji matajiri nilifanywa kitega uchumi kwa muda sana so nipo now nahitaji pesa na mtu mwenye nazo anioe
Ndio hivyoo tuKwa hio ndio hivyo tu?