Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Wewe mtafute huyo mmasai uwe hauna ng'ombe.. wamasai wenzake watakuwa wanachomeka mikuki tu nnje ya mlango[emoji23][emoji23][emoji23] itabidi ujiite Vumilia tuPata mmasai kama hizo kero utaziskia sema tu wale watu wanahasira ujipange ukimzingua
Tafuta pesa.... Acha kulialia😅😅😅😅Huo ndo ukweli mchungu. Kama huna pesa lazima mke wako agongwe nje.
HahahahahaSasa Wewe mtafute huyo mmasai uwe hauna ng'ombe.. wamasai wenzake watakuwa wanachomeka mikuki tu nnje ya mlango[emoji23][emoji23][emoji23] itabidi ujiite Vumilia tu
Na wewe mwenye nazo washika dau wanapigaHuo ndo ukweli mchungu. Kama huna pesa lazima mke wako agongwe nje.
Mwanaume noliyemuacha akina hii atashangaa sn🤔Huo ndo ukweli mchungu. Kama huna pesa lazima mke wako agongwe nje.
No usiende mbali. Kwanza hayo mapenzj mtafanyia wapi?Bila pesa mtakula nini mkimaliza kufanya hayo mapenzi yenu?
Eti jamani!Hata kama mwanamke haangalii pesa, ni muhimu mtu kuwa na pesa.
Sasa mkitaka kula mtakula mapenzi?
Sio mpak kutongoza Yan siku hzi ukichukua namba tu baada ya salami utaambiwa alafu nna shida ya 20000 hapa naomba nitumie kwanza.Sio tu hivyo mkuu,,, siku hizi ikitongoza unaulizwa utanilipa sh ngapi. Hamna mapenzi. Weka hela mezani kula mzigo
😍😅 LamomyKuwa na pesa ili uwe unampa. Pesa ni muhimu
Sema wewe labda watakuelewa!Hata kama mwanamke haangalii pesa, ni muhimu mtu kuwa na pesa.
Sasa mkitaka kula mtakula mapenzi?
Sa km hakupendi kwann asiombe hela?Sio mpak kutongoza Yan siku hzi ukichukua namba tu baada ya salami utaambiwa alafu nna shida ya 20000 hapa naomba nitumie kwanza.
Wanasema kuchapiwa ni siri ya ndani ila naongezea ukijua umechapiwa mfukuze mkeoHuo ndo ukweli mchungu. Kama huna pesa lazima mke wako agongwe nje.
Upo sahihi sana. Nakazia mkuuHakuna Mwanamke anaekupenda endelea kujidanganya tu ananipenda ananipenda, kinachopendwa ni kile ulichonacho sasa jiulize una nini?
Pesa muhimu, huwezi kuendesha nchi km huna pesa wajumbe tunakukata 😂😂😂