Hakuna mapenzi ya kweli duniani. Wanawake wanaangalia pesa

Hakuna mapenzi ya kweli duniani. Wanawake wanaangalia pesa

Pata mmasai kama hizo kero utaziskia sema tu wale watu wanahasira ujipange ukimzingua
Sasa Wewe mtafute huyo mmasai uwe hauna ng'ombe.. wamasai wenzake watakuwa wanachomeka mikuki tu nnje ya mlango[emoji23][emoji23][emoji23] itabidi ujiite Vumilia tu
 
Huo ndo ukweli mchungu. Kama huna pesa lazima mke wako agongwe nje.
Mwanaume noliyemuacha akina hii atashangaa sn🤔
Maana ilikuwa enzi hizo akijitahidi kakupa nauli,buku buku 2, elf 10 cash labda nauli sio zaidi
Na Wala nilikuwa sijali

Ndo maana Huwa nashangaa sn
 
Sio tu hivyo mkuu,,, siku hizi ikitongoza unaulizwa utanilipa sh ngapi. Hamna mapenzi. Weka hela mezani kula mzigo
 
Kujiingiza kwenye mapenzi na huna pesa ni kujiaibisha tu.
 
Back
Top Bottom