Hakuna mbuga inayoitwa Burigi, bali kuna hifadhi ya Burigi na iko documented hivyo

Hakuna mbuga inayoitwa Burigi, bali kuna hifadhi ya Burigi na iko documented hivyo

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Wahenga walisema mwisho wa ubaya ni aibu.

Hatimaye baada ya kifo cha Magufuli sasa mambo yote hadharani, mbunge wa Biharamuro amemueleza wazi Rais Mama Samia kwamba wananchi wanalalamika kudhulumiwa jina la hifadhi yao ya Burigi na kuingizwa neno Chato na entry gate kwenda kuwekwa kilometers nyingi ambazo ni umbali mrefu na ziwa Burigi kwa maslahi ya Magufuli (Hakutajwa jina kwa kumsitiri)

Kwa jinsi mbunge yule alivyokuwa anaongea fact mbele ya Rais sasa ni dhahiri utawala wa kifashisti wa dikteta Magufuli ulijaa dhulma na kuwajaza hofu wananchi, nashauri serikali isifanye maridhiano na Chadema tu bali Watanzania wote wapewe fursa ya kueleza dhulma na utawala wa kifashisti ulioangushwa na kumalizwa na Mungu mwenyewe.

Ni ayo tu.

Unaweza kusoma hii link hapa chini pia.

 
Eti unasema mwisho wa ubaya ni aibu?
 

Attachments

  • IMG-20150703-WA0000.jpg
    IMG-20150703-WA0000.jpg
    8.5 KB · Views: 25
Wananchi walishamzika na nyomi tuliiona sasa unataka wafanye maridhiano gani tena na mtu ambaye washasema hawamuelei?
 
Umeandika kwa mzuka sana ukielekeza lawama zako zote kwa Magufuli [kama ilivyo kawaida yako anyway].

Naona kuna kitu hukijui, au kama unakijua unaficha, sawa Magufuli alikuwa na mabaya yake, lakini sio yote mnayomlaumu nayo aliyasababisha yeye.

CCM ni wanafiki, hata Samia yapo mengi alimuunga mkono Magufuli wakati wa utawala wake, licha ya kujua ni mabaya, lakini baada ya Magufuli kufariki na yeye ndio akabadilika, kwanini hakumpinga wakati ule?

Kwa mfano hilo la mbuga ya Chato uliloleta, naamini kabisa tabia ya wabunge wa CCM kujipendekeza kwa mwenyekiti wao ndio chanzo cha hayo yote, wala sio Magufuli personally.

Hawa hujipendekeza kwa yeyeote aliyeko madarakani kwa maslahi yao binafsi [ubunge]. Leo hii wako wangapi wanaosifia kila jambo lililofanywa na serikali iliyopo madarakani hata kama ni baya kwa wananchi?

Wapo wengi, mfano issue ya kupeleka wanyama wetu nje ya nchi hili lilishapita, ni zile kelele zilizozidi ndio zikawafanya wahusika waone aibu, na sikumsikia mbunge yeyote kule bunge akipinga hili.

So, unapolaumu wakati mwingine ujue chanzo cha lawama zako, usikimbilie kumlaumu mtu kila siku kwasababu umekariri tu, basi kwako kila baya ni lake, wakati mwingine sio kosa lake, ni njaa za wale wagonga meza kule bungeni.
 
Umeandika kwa mzuka sana ukielekeza lawama zako zote kwa Magufuli [kama ilivyo kawaida yako anyway].

Naona kuna kitu hujui, au kama unakijua unaficha, sawa Magufuli alikuwa na mabaya yake, lakini sio yote mnayomlaumu nayo aliyasababisha yeye.

Kwa mfano hilo la mbuga ya Chato uliloleta, naamini kabisa tabia ya wabunge wa CCM kujipendekeza kwa mwenyekiti wao ndio chanzo cha hayo, wala sio Magufuli personally.

Hawa hujipendekeza kwa yeyeote aliyeko madarakani kwa maslahi yao binafsi [ubunge]. Leo hii wako wangapi wanaosifia kila jambo lililofanywa na serikali iliyopo madarakani hata kama ni baya kwa wananchi?

Wapo wengi, mfano issue ya kupeleka wanyama wetu nje ya nchi hili lilishapita, ni zile kelele zilizozidi ndio zikawafanya wahusika waone aibu, na sikumsikia mbunge yeyote kule bunge akipinga hili.

So, unapolaumu wakati mwingine ujue chanzo cha lawama zako, usikimbilie kumlaumu mtu kila siku kwasababu umekariri tu basi kwako kila baya ni lake, wakati mwingine sio kosa lake, ni njaa za wale wagonga meza kule bungeni.
Hauna uhakika na ulichokiandika.
 
Wahenga walisema mwisho wa ubaya ni aibu.

Hatimaye baada ya kifo cha Magufuli sasa mambo yote hadharani, mbunge wa Biharamuro amemueleza wazi Rais Mama Samia kwamba wananchi wanalalamika kudhulumiwa jina la hifadhi yao ya Burigi na kuingizwa neno Chato na entry gate kwenda kuwekwa kilometers nyingi ambazo ni umbali mrefu na ziwa Burigi kwa maslahi ya Magufuli (Hakutajwa jina kwa kumsitiri)

Kwa jinsi mbunge yule alivyokuwa anaongea fact mbele ya Rais sasa ni dhahiri utawala wa kifashisti wa dikteta Magufuli ulijaa dhulma na kuwajaza hofu wananchi, nashauri serikali isifanye maridhiano na Chadema tu bali Watanzania wote wapewe fursa ya kueleza dhulma na utawala wa kifashisti ulioangushwa na kumalizwa na Mungu mwenyewe.

Ni ayo tu.

Unaweza kusoma hii link hapa chini pia.

Hii nchi imelaaniwa haswa
 
2015 baada ya jina la Lowassa kukatwa, Jiwe ndio ilikuwa karata ya mwisho kuiokoa CCM kuingia madarakani.

Najaribu kuwaza 2015 ingekuwa Lowassa Vs Mama Samia nini kingetokea?
 
Umeandika kwa mzuka sana ukielekeza lawama zako zote kwa Magufuli [kama ilivyo kawaida yako anyway].

Naona kuna kitu hukijui, au kama unakijua unaficha, sawa Magufuli alikuwa na mabaya yake, lakini sio yote mnayomlaumu nayo aliyasababisha yeye.

Kwa mfano hilo la mbuga ya Chato uliloleta, naamini kabisa tabia ya wabunge wa CCM kujipendekeza kwa mwenyekiti wao ndio chanzo cha hayo yote, wala sio Magufuli personally.

Hawa hujipendekeza kwa yeyeote aliyeko madarakani kwa maslahi yao binafsi [ubunge]. Leo hii wako wangapi wanaosifia kila jambo lililofanywa na serikali iliyopo madarakani hata kama ni baya kwa wananchi?

Wapo wengi, mfano issue ya kupeleka wanyama wetu nje ya nchi hili lilishapita, ni zile kelele zilizozidi ndio zikawafanya wahusika waone aibu, na sikumsikia mbunge yeyote kule bunge akipinga hili.

So, unapolaumu wakati mwingine ujue chanzo cha lawama zako, usikimbilie kumlaumu mtu kila siku kwasababu umekariri tu basi kwako kila baya ni lake, wakati mwingine sio kosa lake, ni njaa za wale wagonga meza kule bungeni.
Wabunge wa CCM huwa ni wanafiki wakubwa
 
Hauna uhakika na ulichokiandika.
Mimi sio mgeni na tabia za wabunge wa CCM, tatizo lenu akiwemo mleta mada mkiona issue ya Magufuli wengi wenu hukurupuka kwa mihemko kuchangia mada bila kutumia akili zenu, mmekariri kila baya Tanzania wakati wa utawala wake chanzo chake kilikuwa Magufuli, sio kweli.
 
Hivi andiko juu ya tathmini juu ya adhari za mazingira na kijamii lipo?. Anyama watakapowageukia wananchi ? NEMC waliridhia utaratibu?
Wahenga walisema mwisho wa ubaya ni aibu.

Hatimaye baada ya kifo cha Magufuli sasa mambo yote hadharani, mbunge wa Biharamuro amemueleza wazi Rais Mama Samia kwamba wananchi wanalalamika kudhulumiwa jina la hifadhi yao ya Burigi na kuingizwa neno Chato na entry gate kwenda kuwekwa kilometers nyingi ambazo ni umbali mrefu na ziwa Burigi kwa maslahi ya Magufuli (Hakutajwa jina kwa kumsitiri)

Kwa jinsi mbunge yule alivyokuwa anaongea fact mbele ya Rais sasa ni dhahiri utawala wa kifashisti wa dikteta Magufuli ulijaa dhulma na kuwajaza hofu wananchi, nashauri serikali isifanye maridhiano na Chadema tu bali Watanzania wote wapewe fursa ya kueleza dhulma na utawala wa kifashisti ulioangushwa na kumalizwa na Mungu mwenyewe.

Ni ayo tu.

Unaweza kusoma hii link hapa chini pia.

 
Back
Top Bottom