Hakuna mbuga inayoitwa Burigi, bali kuna hifadhi ya Burigi na iko documented hivyo

Hakuna mbuga inayoitwa Burigi, bali kuna hifadhi ya Burigi na iko documented hivyo

Kwahiyo asingekuwepo Jiwe ndio ccm ingekubali kushindwa na Lissu?

Bado wapinzani wangeendelea kuongeza viti vya ubunge na udiwani, kama walivyokuwa wakiongeza kila uchaguzi.
 
Ndio nasema kwamba watu walimuelewa Jiwe na wakaonesha hilo kwenye mazishi yake, kwahiyo hayo maridhiano yafanyike na wanasiasa na maisha yaendelee na kumuacha marehemu apumzike.

Yale mazishi yaliyopewa promo hadi kutolewa usafiri wa bure kwenda msibani? Wangeachwa na wale waliokuwa wanashangilia kifo kile tupime kukubalika kwake.
 
Yale mazishi yaliyopewa promo hadi kutolewa usafiri wa bure kwenda msibani? Wangeachwa na wale waliokuwa wanashangilia kifo kile tupime kukubalika kwake.
Wewe ulipanda huo usafiri ulipouona? Waliyoenda walienda kwa mapenzi yao iwe kwa usafiri wao au wa kupewa.

Yani wewe bado unapima kukubalika kwa Jiwe? Hivi we kweli upo Tanzania au ndio upo nje unafuatilia habari za Tz kupitia mitandao?

Sasa hao waliyokuwa wanashangilia ulitaka waachwe ili uone wingi wao au uone tu wakishangilia?
 
Bado wapinzani wangeendelea kuongeza viti vya ubunge na udiwani, kama walivyokuwa wakiongeza kila uchaguzi.
Kumbe kelele zote ni za udiwani na ubunge tu urais msharidhika kuwa lazima awe ccm, sasa Magu aliamua kutumia uwezo wa ccm hadi huko kwenye udiwani na ubunge.
 
2015 baada ya jina la Lowassa kukatwa, Jiwe ndio ilikuwa karata ya mwisho kuiokoa CCM kuingia madarakani.

Najaribu kuwaza 2015 ingekuwa Lowassa Vs Mama Samia nini kingetokea?
Bado unaamini katika uchaguzi huru mkuu,au unamaanisha nyomi wakati wa kampeni?ccm waroho wa madaraka na waoga kuondoka madarakani.
 
Wewe ulipanda huo usafiri ulipouona? Waliyoenda walienda kwa mapenzi yao iwe kwa usafiri wao au wa kupewa.

Yani wewe bado unapima kukubalika kwa Jiwe? Hivi we kweli upo Tanzania au ndio upo nje unafuatilia habari za Tz kupitia mitandao?

Sasa hao waliyokuwa wanashangilia ulitaka waachwe ili uone wingi wao au uone tu wakishangilia?

Kipimo halisi cha kukubalika ni kuheshimu uchaguzi, kinyume na hapo ni utapeli wa mchana kweupe. Na kwenye uchaguzi hakuheshimu, ww unatuletea kipimo cha mahudhurio ya msiba kama kipimo cha kukubalika?!

Hao waliokuwa wanashangilia tungepima kutokukubalika kwake, maana unataka tuone walioshiriki ndio kipimo cha kukubalika kwake.
 
Wahenga walisema mwisho wa ubaya ni aibu.

Hatimaye baada ya kifo cha Magufuli sasa mambo yote hadharani, mbunge wa Biharamuro amemueleza wazi Rais Mama Samia kwamba wananchi wanalalamika kudhulumiwa jina la hifadhi yao ya Burigi na kuingizwa neno Chato na entry gate kwenda kuwekwa kilometers nyingi ambazo ni umbali mrefu na ziwa Burigi kwa maslahi ya Magufuli (Hakutajwa jina kwa kumsitiri)

Kwa jinsi mbunge yule alivyokuwa anaongea fact mbele ya Rais sasa ni dhahiri utawala wa kifashisti wa dikteta Magufuli ulijaa dhulma na kuwajaza hofu wananchi, nashauri serikali isifanye maridhiano na Chadema tu bali Watanzania wote wapewe fursa ya kueleza dhulma na utawala wa kifashisti ulioangushwa na kumalizwa na Mungu mwenyewe.

Ni ayo tu.

Unaweza kusoma hii link hapa chini pia.

Hii inadhihirisha jinsi CCM kilivyo cham cha hivyo kabisa, kinalazimisha tuongizwe na viongozi wezi, wengi na wajinga. Hatuwezi kufanikiwa kama nchi chini ya uongozi wa CCM. Katiba mpya ni sasa
 
Kumbe kelele zote ni za udiwani na ubunge tu urais msharidhika kuwa lazima awe ccm, sasa Magu aliamua kutumia uwezo wa ccm hadi huko kwenye udiwani na ubunge.
Kelele kubwa ni ya kura za urais, huenda hujui unachoongea boss. Magu alichofanya sio uwezo wa CCM, bali ulikuwa ni ulevi wa madaraka. Mtu mjinga tu ndio anaweza kusifia ule ushenzi ili kupata ushindi kwa chama chenye miaka zaidi ya 50.
 
Kipimo halisi cha kukubalika ni kuheshimu uchaguzi, kinyume na hapo ni utapeli wa mchana kweupe. Na kwenye uchaguzi hakuheshimu, ww unatuletea kipimo cha mahudhurio ya msiba kama kipimo cha kukubalika?!

Hao waliokuwa wanashangilia tungepima kutokukubalika kwake, maana unataka tuone walioshiriki ndio kipimo cha kukubalika kwake.
Mtu ambaye mnasema alikuwa katili na anawauwa hadi mkaomba dua kwa Mungu ndio baada ya kufa muende kumzika muuwaji wenu kwa umati ule? Binafsi sikutegemea kitu hicho.

Sijasema alipendwa na watu wote ila nilitegemea kuona watu wachache kwenye mazishi yake na wengi kubaki majumbani kufurahia kifo chake.
 
Mtu ambaye mnasema alikuwa katili na anawauwa hadi mkaomba dua kwa Mungu ndio baada ya kufa muende kumzika muuwaji wenu kwa umati ule? Binafsi sikutegemea kitu hicho.

Sijasema alipendwa na watu wote ila nilitegemea kuona watu wachache kwenye mazishi yake na wengi kubaki majumbani kufurahia kifo chake.

Hao uliiowaona ndio waliokuwa wanampenda. Isitoshe watu kuhudhuria msiba wako ni dalili kubwa wanakupenda?
 
Hao uliiowaona ndio waliokuwa wanampenda. Isitoshe watu kuhudhuria msiba wako ni dalili kubwa wanakupenda?
Dalili ya kwamba hawakuwa wakimuona ni katili na muuwaji wao.
 
Wahenga walisema mwisho wa ubaya ni aibu.

Hatimaye baada ya kifo cha Magufuli sasa mambo yote hadharani, mbunge wa Biharamuro amemueleza wazi Rais Mama Samia kwamba wananchi wanalalamika kudhulumiwa jina la hifadhi yao ya Burigi na kuingizwa neno Chato na entry gate kwenda kuwekwa kilometers nyingi ambazo ni umbali mrefu na ziwa Burigi kwa maslahi ya Magufuli (Hakutajwa jina kwa kumsitiri)

Kwa jinsi mbunge yule alivyokuwa anaongea fact mbele ya Rais sasa ni dhahiri utawala wa kifashisti wa dikteta Magufuli ulijaa dhulma na kuwajaza hofu wananchi, nashauri serikali isifanye maridhiano na Chadema tu bali Watanzania wote wapewe fursa ya kueleza dhulma na utawala wa kifashisti ulioangushwa na kumalizwa na Mungu mwenyewe.

Ni ayo tu.

Unaweza kusoma hii link hapa chini pia.

Kwa jinsi mbunge yule alivyokuwa anaongea fact mbele ya Rais sasa ni dhahiri utawala wa kifashisti wa dikteta Magufuli ulijaa dhulma na kuwajaza hofu wananchi, nashauri serikali isifanye maridhiano na Chadema tu bali Watanzania wote wapewe fursa ya kueleza dhulma na utawala wa kifashisti ulioangushwa na kumalizwa na Mungu mwenyewe.
 
Dalili ya kwamba hawakuwa wakimuona ni katili na muuwaji wao.

Ndio walioridhika na ukatali wake, na wengine walienda kujiridhisha kama kweli kafa. Huko kijijini kwetu watu wengi walijitokeza kumuangalia joka kubwa lililokuwa limeuwawa, je ile ilikuwa dalili ya kulikubali joka lile?
 
Mtu ambaye mnasema alikuwa katili na anawauwa hadi mkaomba dua kwa Mungu ndio baada ya kufa muende kumzika muuwaji wenu kwa umati ule? Binafsi sikutegemea kitu hicho.

Sijasema alipendwa na watu wote ila nilitegemea kuona watu wachache kwenye mazishi yake na wengi kubaki majumbani kufurahia kifo chake.
Inaonekana wewe hujahudhuria hata mazishi ya vibaka na majambazi hupata mahudhurio makubwa na vilio vya kuchekelea utawala eneo hilo.

Nigeria ukisikia wanapiga vigeregere ujuwe ni msiba na si kwamba watu hao wanafurahi.
 
Back
Top Bottom