Hakuna mchezaji aliyefikia kiwango cha Pele?

Hakuna mchezaji aliyefikia kiwango cha Pele?

pele hana jipya wakati wao kulikuwa hakuna offside. gaucho ni best player
 
mbona wapo wengi tu
unamjua Zicco?
unamjua Eusebio?
Marco Van Basten?
kuna mchezaji wa Hungary acha kabisa mechi ya kwanza ya gruop aliwapiga west German bao kama nne
ajabu fainali West German wanashinda kwa mbinu tu
hungary ilikuwa inatisha dunia nzima..

wapo wengi sana...hata George Weah huwezi mlinganisha na kina Klose waliochukua ubingwa juzi tu hapo brazil
anaitwa "puskas"
 
Mchezaji bora ni very subjective. Kuna watu mchezaji bora kwao ni mwenye skills mguuni, kwa wengine ni mfungaji, wengine ni mkabaji sana, kwa wengine ni yule anaejituma sana, kwa wengine mchezaji mwenye mataji mengi. Kwahiyo inategemea unawangalinganisha from what perspective

Kwangu mimi mchezaji bora ni yule mwenye skills na kufanya mambo mengine above average, that being said Ronaldinho Gaucho ni best ever kwangu.
 
Ni kumkosea CR7 heshima kumlinganisha na Neymar kwa sasa ila Neymar ni very promising naamini atavunja records nyingi
kweli mkuu neymar ana kipaji na anaweza kufika mbali
ila naskitika sana kwa andriano pato na luis fabiano nao walikuwa wana vipaji sana sijui kiliwakuta nini au ndo mambo ya samba festival yamewaharibu??
 
kweli mkuu neymar ana kipaji na anaweza kufika mbali
ila naskitika sana kwa andriano pato na luis fabiano nao walikuwa wana vipaji sana sijui kiliwakuta nini au ndo mambo ya samba festival yamewaharibu??
Walikua wazuri ila Neymar ni exceptional, angalia rate yake ya magoli hao wote hawamgusi, Brazil anamfukuzia Pelle na De Lima kwa utop scorer. Halafu Neymar ni pure talent kwa skills mguuni hata messi hamgusi hawakosei wanapomuita natural flair. Ni very promising akitulia na kuacha mambo yao ya samba, utoto na kupiga mazoezi in a couple years Atakua mchezaji hatari sana
 
Kuna mchezaji aliyecheza kiwango Cha juu sana akakosa vikombe muhimu?
Nitajie hao legends wa zamani ambae alicheza kiwango cha juu kuliko mchezaji yoyote kisha akakosa kutwaa World Cup
Sir Stanley Matthews, Alfredo Di Stephano, Ferenc Puskas, Johan Cruyff, Eusebio, Michel Platini, Oleg Blokhin, Hristo Stoichkov, Gheorge Hagi, Andry Shevchenko, George Weah ... Unataka niendelee?
 
Dunia hii hakuna mchezaji aliyefikia level za dinho, gaucho hajacheza muda mrefu sana, ila tukicompare ubora PEAK VALUE dinho hafikiwi Na yeyote #watching dinho play is as sweet as having an orgasm, kilele cha ubora wa dinho kilikuwa cha kipekee, yaan hata anavokimbia na mpira unakubali tu kuwa hapa kuna mchezaji
 
Walikua wazuri ila Neymar ni exceptional, angalia rate yake ya magoli hao wote hawamgusi, Brazil anamfukuzia Pelle na De Lima kwa utop scorer. Halafu Neymar ni pure talent kwa skills mguuni hata messi hamgusi hawakosei wanapomuita natural flair. Ni very promising akitulia na kuacha mambo yao ya samba, utoto na kupiga mazoezi in a couple years Atakua mchezaji hatari sana
sure ila naona pia atulie barca nature ya soka la barca linamfavour zaid na pia uwepo wa suarez na mesi utamfanya ajifunze mengi zaid asije akahama anaweza akapotea especially england hakumfai
 
Tuambie Messi amebeba World Cup ya wapi,maana inaonekana mwenzetu upo Sayari nyingine ambayo Messi kachukua World Cup huko.


2254897_w2.jpg
Screenshot_2016-02-17-01-52-03-1.png


Soma hapo acha uvivu.. mwaka wa 2005 ABICELESTE 2-1 NIGERIA ilipigwa HOLLAND messi akanyakua kombe! mwaka wa 2008 ALBICELESTE 3-0 BRAZILilipigwa BEIJING akiwepo na mauno wenu na robinho walipotezwa ile mbaya albiceleste wakalinyakua..
 
Ronaldinho alikuwa ni kitu kingine, amepata tuzo zote unazozijua, Gaucho ni kitu kingine! Gaucho alikuwa na kila kitu kama footballer, hivyo ni aibu kumlinganisha Messi na Gaucho.

Ndiomaana nawaambia msichokijua kaukeni tu..huyo dinyo wenu mwekeni list moja na kina aguero,neimar,higuain,hazard,de maria,nk.lkn kumpanga na ((DIEGO,MESSI NA ZIDANE))huko si kuwatendea haki, hana hadhi kabisa kumweka ktk list moja na hawa jamaa watatu
 
Sir Stanley Matthews, Alfredo Di Stephano, Ferenc Puskas, Johan Cruyff, Eusebio, Michel Platini, Oleg Blokhin, Hristo Stoichkov, Gheorge Hagi, Andry Shevchenko, George Weah ... Unataka niendelee?
Uliowataja walikuwa wachezaji wazuri lakini sio kwa level Ya Maradona
 
Until he wins World Cup he can't be compared to Maradona or Gaucho to say the least

Si sababu w/cup..sikatai pele ana mengi.. lkn kaachwa mbali mno na de D10s, na Isitoshe pia kaachwa mbali na zizle! Na hapo sijui utaniambia nini! Hapo messi nimemweka PENDING
 
Back
Top Bottom