NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Najaribu kufikiri endapo Mayele angekuwa mchezaji wa Simba SC, redio na wachambuzi wao wa mchongo wangeimba wiki nzima, lakini hii tetesi ya mwamba kuuzwa kwa bilioni 2.8 wachambuzi wanachambua ball kimya kimya tu.
Kama tetesi ni za kweli kila la heri mwamba Fistoni Kalala Mayele.
Kama tetesi ni za kweli kila la heri mwamba Fistoni Kalala Mayele.