Hakuna Mchezaji wa Simba SC aliyecheza anaweza Ingia Kwenye First 11 Ya YANGA SC

Hakuna Mchezaji wa Simba SC aliyecheza anaweza Ingia Kwenye First 11 Ya YANGA SC

Dunia leo imesimama kwa sababu tu ya ubingwa wa Wananchi!
Hatari sana.
Labda dunia ya warembo wauza rasta na mawigi. Yani watu mfano tuu nchi kama misri yenye club bora wasimame kuangalia utopoolo club isiyojulikana hata hapo congo tuu hawana muda
 
Leo nimecheki game ya simba sc dhidi ya prison ambapo simba wamepoteza kwa goli moja.

Kuanzia kikosi cha kwanza hadi walio kaa benchi hakuna mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha wachezaji 11 wa Mabingwa wa Kihistoria wa Mara 28 wa Ligi Kuu Bara.

View attachment 2273322

Simba mna kazi kubwa sana ya ku-UPGRADE kikosi chenu.

Ukizingatia wachezaji wengi ni Above 30.
Umemeza dawa zako ...nianzie hapo kwanza
 
Leo nimecheki game ya simba sc dhidi ya prison ambapo simba wamepoteza kwa goli moja.

Kuanzia kikosi cha kwanza hadi walio kaa benchi hakuna mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha wachezaji 11 wa Mabingwa wa Kihistoria wa Mara 28 wa Ligi Kuu Bara.

View attachment 2273322

Simba mna kazi kubwa sana ya ku-UPGRADE kikosi chenu.

Ukizingatia wachezaji wengi ni Above 30.
Hama kwanza nyumbani.
 
Nina fahamu wengi mtashangaa kwanini nimemuweka Inonga kwenye kundi moja.

Ni kweli amekuwa na msimu mzuri kama ukizingatia zile mechi alizo mkaba Mayele tu.

Overall perfomance yake inakosa consistance.

Binafasi aina yake ya uchezaji nina mfananisha na Ibrahim BACCA.
Aisee dah
 
Kuna kipindi niliamini katika mashabiki wa Yanga wenye akili timamu, ni demigod na Sibonike ambaye siku hizi haonekani hapa

Kwa namna kila siku unavyoandika pumba yaani, najilaumu sana kuamini vile.
Nipo ndugu yangu. Kweli sipiti sana mitaa hii siku hizi. Lakini soon nitarejea kwa nguvu zote
 
Leo nimecheki game ya simba sc dhidi ya Prison ambapo simba wamepoteza kwa goli moja.

Kuanzia kikosi cha kwanza hadi walio kaa benchi hakuna mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha wachezaji 11 wa Mabingwa wa Kihistoria wa Mara 28 wa Ligi Kuu Bara.

View attachment 2273322

Simba mna kazi kubwa sana ya ku-UPGRADE kikosi chenu.

Ukizingatia wachezaji wengi ni Above 30.
.
FB_IMG_1611660294488.jpg
 
Back
Top Bottom