Hakuna mjanja wa town anayenunua nguo vunja bei

Kila mtu na swaga zake,wewe unaweza ukawa umevaa jeans mbano ukajiona mjanja mimi nikakuona mpolipoli au choko,mimi naweza nikawa nimevaa bag jeans na bag Tshirt la Fubu na buti la CAT wewe ukaniona mshamba wakati mimi najiona ka niko Harlem.
 

and most of the time wajanja wa town huishia kuwa watapeli au broke! Inaendana na kipato cha mtu na vipa umbele vyake! Maishani mwangu mavazi kwangu hayajawahi kuwa prioiry, nikisema haya namaanisha, ninaweza kuwa na nguo hata ya: $250, ila navyovaa naweza onekana sijavaa chochote...... vipa umbele vinatofautiana!
 
Bhasi watakuwa wanalazimisha kuvaa fashion.. Ila umeongea ukweli maana huwa kuna ugumu katika kupendeza hasa nguo za tshirts na jeans ila kwa Sam misago sio mwembamba kiasi hicho..labda anahitaji darasa
Mtu ukiwa mwembamba sana ukivaa hupendezi. Hata wanawake wembamba sana hawapendezagi
 
Ama hana damu ya nguo
Bhasi watakuwa wanalazimisha kuvaa fashion.. Ila umeongea ukweli maana huwa kuna ugumu katika kupendeza hasa nguo za tshirts na jeans ila kwa Sam misago sio mwembamba kiasi hicho..labda anahitaji darasa
 
Tukanunua wapi mkuu hebu taja maduka mazuri ya nguo
 
Nguo zao wanatoa k.koo,

Kiufupi nguo nyingi kinondoni siku hizi ni za kawaida sana.

Ukitaka nguo nzuri nenda Splash au Max,

Mi huwa nafanya shopping ya nguo mara mbili kwa mwaka. Naweka bajeti yake kabisaa
Mkuu splash au max ......jeans sh ngapi, na tshirt sh ngapi
 
Chuki binafsi huwa haifai, sasa kwa kusema hivyo inakuongezea nini?
 
Bhasi watakuwa wanalazimisha kuvaa fashion.. Ila umeongea ukweli maana huwa kuna ugumu katika kupendeza hasa nguo za tshirts na jeans ila kwa Sam misago sio mwembamba kiasi hicho..labda anahitaji darasa
Sam anaonekana hapendezi sababu Kagoma kuvaa skin jeans, simanish Ile ya kubana Sana no..... inaweza ikawa skin lkn inaachia Kwa mbali, ila ukiangalia mvao wa Sam ni zile jeans kubwa .. real hawezi pendeza, ukimchek mfano B dozen ..anavaa skin lakin sio kubana Sana!!!! Ila Sam unshindwa hata kumgroup kavaa Kama bad boy, or vipi.... the same Na Millad.........Ila kuna mchizi amewai Namibia kwamba vunja bei ni JIPU full midosho et!!!
 
Unaposema flani hajui kuvaa unamaanidha kwamba huwa anakaa uchi ama? Kazi ya nguo ni kukusitiri mwili, umezungumza kana kwamba una ugomvi binafsi na wahusika, sijaona ushauri kwa lengo la kujenga katika post yako zaidi ya kuharibu kwa lengo la kubomoa, mf, wakianguka kibiashara unanufaika na nini?
 
Nilifikiri nipo peke yangu niliyeona hiki kitu...Vunjabei inabidi wabadilike nguo zao ya kawaida mno kama sio ovyo
 
Huo ndio ukweli ,vunja bei hamna kitu pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…