Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani .
Lissu apunguze lile Tumbo linamfedhehesha sana!
 
Mbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani .
Mandondocha ya Mbowe mnahaha kama kuku anayetaka kutaga
 
Mnavyomshabikia Mbowe aendelee kuongoza, vipi ikitokea akapoteza uhai hamtokuwa na mbadala??
 
Pesa
Mbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
Pesa za Abduli na Mama yake zinawasubua watu fulani kwa sababu ya njaa zao. Unapewa pesa na namna ya kuwashambulia Walengwa.
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani .
Mada yako haina weledi hata kidogo, maana umeandika tu hisia zako zisizokuwa na backup yoyote.

Kwa sasa, kwa hapa Tanzania, hakuna kiongozi wa upinzani mwenye nguvu kumshinda Tundu Lisu. Uthibitisho unaupata kwa kura alizozipata Lisu kwenye uchaguzi wenye mazingira magumu kabisa ya uchaguzi mwaka 2020.

Lisu ndiye mpinzani pekee ambaye mpaka leo hii ana uwezo wa kuitisha mkutano wa wananchi usio na kivutio chochote, bila wasanii, bila.mabango, wala chopper, na watu wakajaa. Tundu Lisu ndiye mwanasiasa ambaye kuna wakati alitajwa kuwa ndiye aliyekuwa ametajwa na vyombo vingi vya habari kuliko mwanadamu yeyote Duniani. Ndiyo maana, ile tu yeye kuamua kugombea nafasi ya umwenyekiti ndani ya CHADEMA, sura yauchaguzi imebadilika ghafla, naimekuwa ni mjadala wa nchi nzima, tofauti na hata alipogombea Sumaye.
 
tujadili tu kiungwana, heche atapata kura kutoka kanda gani?
Swali la kipuuzi. Kwani uchaguzi ni wa kiongozi wa kitaifa au kiongpzi wa Kanda?

Wewe huishi kwenye akili walamioyo ya watu. Heche anaweza kupata kura ya mjumbe wa kutoka mahali popote atakayeamua kumpigia. Kila mtu ana maamuzi yake.
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani .
ni lissu na heche, wanatosha
 
Back
Top Bottom