Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Wenje hawezi kushinda..mchango wa Heche kwa chadema ni mkubwa kuliko Wenje! Lkn pia Tukio lake kuhusishwa na Abdul km daraja kumfikia Lisu linamuondolea sifa kupewa dhamana kuongoza chama..wenje na Lisu hawafai wao waende wakaungane na Abdul kufanya biashara..siasa imewashinda!
Lisu anahusika vipi na wenje?
Lisu hafai kivipi? Kwani Lisu ndiyo alikwenda nyumbani kwa Wenje? Ebu tambua kuwa Wenje ndiyo alikwenda nyumbani kwa lisu kujaribu kumpa Rushwa na akaikataa, acha kumhusisha Lisu na Wenje ambae alimfuata kwake bila makubaliano, Heche na Lisu wapo moyoni mwa Wajumbe wengi ingawa Wajumbe wanakula pesa za mbowe na kumdanganya kuwa wapo nae pamoja
 
Mbowe anahaha kuununua uenyekiti kwa gharama kubwa hataki mwenyekiti mpya kwani atavumbua madudu yake mengi wizi wa pesa za chama, Rushwa ya Ngono kwa wabunge viti maalum
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
Unaota
 
Nadhani tuache Kampeni zichukue Mkondo wake, Maana halisi ya Kampeni ni kushawishi waliokuwa upande mwingine kuja upande wako
Naunga mkono, mbowe na lissu wote wanahitajika chadema, wajumbe watumie busara siku ya uchaguzi, wasikubali kuipoteza hii miamba
 
Mbowe anahaha kuununua uenyekiti kwa gharama kubwa hataki mwenyekiti mpya kwani atavumbua madudu yake mengi wizi wa pesa za chama, Rushwa ya Ngono kwa wabunge viti maalum
..bahati nzuri lissu yeye ana sera na mambo kushughulika nayo, mie sijaona sera za mbowe Hadi sasa, aliyeziona atuwekee hapa
 
Lisu anahusika vipi na wenje?
Lisu hafai kivipi? Kwani Lisu ndiyo alikwenda nyumbani kwa Wenje? Ebu tambua kuwa Wenje ndiyo alikwenda nyumbani kwa lisu kujaribu kumpa Rushwa na akaikataa, acha kumhusisha Lisu na Wenje ambae alimfuata kwake bila makubaliano, Heche na Lisu wapo moyoni mwa Wajumbe wengi ingawa Wajumbe wanakula pesa za mbowe na kumdanganya kuwa wapo nae pamoja
Hapo pesa iliwe kura ikungi full stop
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
Sisi tuliosoma na Heche na sasa tunaishi kama majirani tunawaonea huruma sana wanaomuona Heche shujaa wao.
 
Mbowe ni mwizi kama wezi wengine, huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kisingizio kuwa alikikopesha chama madeni hewa, Mbowe anatumia pesa nyingi kuununua uenyekiti
🤣 🤣 🤣
 
Mbowe anahaha kuununua uenyekiti kwa gharama kubwa hataki mwenyekiti mpya kwani atavumbua madudu yake mengi wizi wa pesa za chama, Rushwa ya Ngono kwa wabunge viti maalum
🤣 🤣 🤣
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
Hujui dunia
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?

Wenje mradi wa serikali...
Au ni Wenje mwingine..!?
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
Haya sasa kiko wea???? Kiko weeeaa???
 
Back
Top Bottom