Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani .
Propaganda, heche Yuko serious Sana.Kumpigia kura agent wa Abdul ni kuizika chadema
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani .
Heche alikuwa mwenyekiti wa BAVICHA taifa.
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
Wenje hawezi kushinda..mchango wa Heche kwa chadema ni mkubwa kuliko Wenje! Lkn pia Tukio lake kuhusishwa na Abdul km daraja kumfikia Lisu linamuondolea sifa kupewa dhamana kuongoza chama..wenje na Lisu hawafai wao waende wakaungane na Abdul kufanya biashara..siasa imewashinda!
 
Ona huyu
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
 
Mbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
Wanaogopana maana wako madarakani. Acha siku nao wawe wapinzani utaona mambo.

Wakati huu ukim challenge mkuu yeyote anaweza sema " ashikwe huyu".
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
We POPOMA KWELI 🤔🤔🤔🤣🤣😃 Sasa mbona unatoa siri???
 
Wenje kawanunulia Suti za Mdahalo akina Yeriko 😂😂

Chadema mko kizamani sana 🐼
Tunasibiri tuone ushindani kama huu wa cdm kwa chama cha mbeleko ya vyombo vya dola. Cdm wameleta hamasa sana kwa kufanya ushindani wa kisiasa wa midahalo ya wazi, watu wanalumbana kwa hoja. Chama la majizi ya kura sasa, hakuna midahalo, lakini utasikia mwenyekiti wao kapata kura 100%!
 
Mbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
Ccm sio chama cha siasa ndio maana huoni midahalo ya kisiasa. Huko ccm mshindi anatangazwa sio kwa kura wala sera, bali maagizo toka juu.
 
Nadhani tuache Kampeni zichukue Mkondo wake, Maana halisi ya Kampeni ni kushawishi waliokuwa upande mwingine kuja upande wako
Tatizo linakuja kwanini wavuane nguo kiasi kile au ndo demokrasia??
 
Mbowe ni mwizi kama wezi wengine, huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kisingizio kuwa alikikopesha chama madeni hewa, Mbowe anatumia pesa nyingi kuununua uenyekiti
 
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.

Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.

Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.

KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.

Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.

Una maaoni gani?
Wajumbe wengi Taifa wapo na Lisu na Heche moyoni lakini machoni wapo na mbowe kwa kuwa anawapa pesa nyingi sana, sasa ni kula kunywa kunawa kwa mbowe lakini kulala ni kwa lisu, ni pesa anayogawa mbowe pekee inamdanganya kuwa anapendwa na Wajumbe
 
Tatizo linakuja kwanini wavuane nguo kiasi kile au ndo demokrasia??
Nguo zipi wanavuana? Nini maana ya kampeni? Maana ya kampeni ni kila mmoja kuongea dukuduku zake ingawa Timu mbowe licha ya kutumia pesa wamezidisha propaganda zaidi ambazo badala ya kuwasaidia zinawaharibia zaidi
 
Wajumbe wanakula pesa za mbowe kama mchwa na wachache wamejitoa fahamu wanakesha mitandaoni kutengeneza Uongo wa kila aina juu ya heche na lisu ili wamfurahishe mbowe aendelee kuwapa pesa , kwa sasa kuna wimbi na kikundi cha wala pesa za mbowe ndiyo wamekuwa wasumbufu mitandaoni, yafaa wamshukuru Lisu na heche kugombea uenyekiti na makamu kwani imepelekea wao lupata Dili kubwa toka kwa mbowe na sasa wanakula pesa nyingi huku kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na mdee, Boniface na wenje wakihaha saa 24 kumdhoofisha Lisu
 
Back
Top Bottom