Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Anakula kitimoto sana.Lissu apunguze lile Tumbo linamfedhehesha sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakula kitimoto sana.Lissu apunguze lile Tumbo linamfedhehesha sana!
Propaganda, heche Yuko serious Sana.Kumpigia kura agent wa Abdul ni kuizika chademaHeche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.
Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.
Una maaoni gani .
Heche alikuwa mwenyekiti wa BAVICHA taifa.Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekina na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lisu.
Lakini pia ni heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press.
Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lisu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.
Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lisu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.
Una maaoni gani .
Wenje hawezi kushinda..mchango wa Heche kwa chadema ni mkubwa kuliko Wenje! Lkn pia Tukio lake kuhusishwa na Abdul km daraja kumfikia Lisu linamuondolea sifa kupewa dhamana kuongoza chama..wenje na Lisu hawafai wao waende wakaungane na Abdul kufanya biashara..siasa imewashinda!Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.
Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.
Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.
Una maaoni gani?
Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.
Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.
Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.
Una maaoni gani?
Wanaogopana maana wako madarakani. Acha siku nao wawe wapinzani utaona mambo.Mbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
we wa buku 5umehongwa shingap
We POPOMA KWELI 🤔🤔🤔🤣🤣😃 Sasa mbona unatoa siri???Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.
Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.
Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.
Una maaoni gani?
Juzi Tu serikali za mitaa walikabana mashati au kichwa haina kumbukumbu. Mwenyekiti Taifa hakuwahi kuchaguliwaMbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
Tunasibiri tuone ushindani kama huu wa cdm kwa chama cha mbeleko ya vyombo vya dola. Cdm wameleta hamasa sana kwa kufanya ushindani wa kisiasa wa midahalo ya wazi, watu wanalumbana kwa hoja. Chama la majizi ya kura sasa, hakuna midahalo, lakini utasikia mwenyekiti wao kapata kura 100%!Wenje kawanunulia Suti za Mdahalo akina Yeriko 😂😂
Chadema mko kizamani sana 🐼
Ccm sio chama cha siasa ndio maana huoni midahalo ya kisiasa. Huko ccm mshindi anatangazwa sio kwa kura wala sera, bali maagizo toka juu.Mbona uchagyzi wa ndani wa CCM huoni wakitukanana au kukashifiana?
Tatizo linakuja kwanini wavuane nguo kiasi kile au ndo demokrasia??Nadhani tuache Kampeni zichukue Mkondo wake, Maana halisi ya Kampeni ni kushawishi waliokuwa upande mwingine kuja upande wako
Wajumbe wengi Taifa wapo na Lisu na Heche moyoni lakini machoni wapo na mbowe kwa kuwa anawapa pesa nyingi sana, sasa ni kula kunywa kunawa kwa mbowe lakini kulala ni kwa lisu, ni pesa anayogawa mbowe pekee inamdanganya kuwa anapendwa na WajumbeHeche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu.
Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au kiongozi mwenzake ni adui na mbaya wake.
Mihemko na michezo ya kamari imemshushia sana heshima na hadhi aliyokua nayo heche hapo kabla.
KIiufupi heche na Lissu wanayo changamoto kubwa ya numbers za wajumbe zitakazo wawezesha kushinda uongozi wa juu wa chadema.
Tabia na aina ya siasa wanafanana kwa kiasi kikubwa tatizo ni numbers.
Muungano wa FREEMAN AIKAELI MBOWE NA EZEKIA DIBOGO WENJE utawashinda mapema mchana kweupe, muungano wa Tundu Lisu na John Heche.
Una maaoni gani?
Nguo zipi wanavuana? Nini maana ya kampeni? Maana ya kampeni ni kila mmoja kuongea dukuduku zake ingawa Timu mbowe licha ya kutumia pesa wamezidisha propaganda zaidi ambazo badala ya kuwasaidia zinawaharibia zaidiTatizo linakuja kwanini wavuane nguo kiasi kile au ndo demokrasia??