Hakuna mkate ngumu mbele ya chai, Mwabukusi kimyaaaaaa!

Hakuna mkate ngumu mbele ya chai, Mwabukusi kimyaaaaaa!

Ukipiga mchungaji kondoo wote watatawanyika, ukiwa nje unaona msitu lakini ukingia ndani ya msitu unaanza kuona miti.

Umoja wa kupigania Tanganyika sasa kwisha habari yake, sioni tena Mwabukusi toka amekuwa raisi wa CHAMA cha wanasheria TLS, Sijasikia akitoa matamko makali tena. Prof.kabudi itakuwa kamuweza nini?
Inchi hii ni ngumu sana
Gentleman,
when you are eating,
please observe and respect table manners 🐒
 
Ukipiga mchungaji kondoo wote watatawanyika, ukiwa nje unaona msitu lakini ukingia ndani ya msitu unaanza kuona miti.

Umoja wa kupigania Tanganyika sasa kwisha habari yake, sioni tena Mwabukusi toka amekuwa raisi wa CHAMA cha wanasheria TLS, Sijasikia akitoa matamko makali tena. Prof.kabudi itakuwa kamuweza nini?
Inchi hii ni ngumu sana
Huyu jamaa alianza kwa mbwembwe! Naona kageuka kuwa mtu wa mapambio kwa Tanpol🤣
 
Wewe ndiye humfatilii Interview zake huyu jamaa sababu unaongozwa na Trendings, Unamfuatilia pale anapotrend tu...


Haya unajua juzi alikua wapi? Alizungumzia nini cha msingi?
 
Ukipiga mchungaji kondoo wote watatawanyika, ukiwa nje unaona msitu lakini ukingia ndani ya msitu unaanza kuona miti.

Umoja wa kupigania Tanganyika sasa kwisha habari yake, sioni tena Mwabukusi toka amekuwa raisi wa CHAMA cha wanasheria TLS, Sijasikia akitoa matamko makali tena. Prof.kabudi itakuwa kamuweza nini?
Inchi hii ni ngumu sana
Ukiwa Unakula Huwa ni marufuku Kufungua Mdomo Kuongea Hiyo Ni table manner yetu waAfrika 😂😂
 
Wewe ndiye humfatilii Interview zake huyu jamaa sababu unaongozwa na Trendings, Unamfuatilia pale anapotrend tu...


Haya unajua juzi alikua wapi? Alizungumzia nini cha msingi?
Alizungumza nn mkuu?
 
Ukipiga mchungaji kondoo wote watatawanyika, ukiwa nje unaona msitu lakini ukingia ndani ya msitu unaanza kuona miti.

Umoja wa kupigania Tanganyika sasa kwisha habari yake, sioni tena Mwabukusi toka amekuwa raisi wa CHAMA cha wanasheria TLS, Sijasikia akitoa matamko makali tena. Prof.kabudi itakuwa kamuweza nini?
Inchi hii ni ngumu sana
Usianike ujinga wako hadharani!
🚮🚮🚮
 
la
Mifumo ya inchi hii kigumu mkuu, kuna wakati mtu anapiginia haki la taifa, lakin mwisho anajikuta yuko peke ake, hakuna anae msapoti. Tunasafari ndefu sana, ndio maana wanaharakati wengi wanakufa moyo wa kujitoa
Wananchi wengi ni wajinga na hata wasomi ni waoga.Ndo maana magufuli aliweza kua rais na mdude ndo anapigania Uhuru wetu.very pathetic
 
Wananchi wengi ni wajinga na hata wasomi ni waoga.Ndo maana magufuli aliweza kua rais na mdude ndo anapigania Uhuru wetu.very pathetic
Ujinga ndio mtaji mzuri wa wanasiasa kwa Tanaznia
 
Back
Top Bottom