mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
Ungeweka japo summary ya nini amekisema ungesaidie sisi watumia mchina
hivi huyu dada hilo gauni si ndilo alivaa kwenye intervew ya diamond?
Kwani hiyo show ya spora huwa inafanyikiaga wapi? Maana mi naionaga star tv najua wapo Rock city.
Jamaa ana guu la bia.....hahahaaaaa
cha wahuni!Chama Cha Wala Bata or?